GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Ufanano wake na wewe ni kwenye matusi hapo ndipo mnaposhea nothing else
Yameshakuwa hayo tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufanano wake na wewe ni kwenye matusi hapo ndipo mnaposhea nothing else
Mgombea amepata ukame wa sera. Ni mweupe kabisa zimeisha. 2015 alipiga push up sana zika compansate sera. Mwaka huu hakuna kitu. Ni mweupe kabisa."Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Mgombea wako kila anapodhani anafanya vizuri anazidi kuharibu. Amebaki anatoa mitusi tu njia nzimaYameshakuwa hayo tena!
Maendeleo yana chama.Unasema kuwa Wewe ni Rais wa Watanzania wote kisha hapo hapo tena 'unatishia' Watu kwa Kuonyesha 'Ubinafsi' hii ni Siasa mpya ya wapi tena?
Hahah.....chicken chickmimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Kwa kauli hiyo tunaamini kuwa:"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Umeelewa mada iliyoko mezani ndugu Mataga? Tz kuna viumbe hasara vingi sanamimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Nakufahamu vizuri, hujawahi kuwa CHADEMA. Au niweke details zako hapa na majina yako kamili?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
NenoWaacheni wananchi waone rangi zake zote kabla ya kufanya maamuzi trh 28/10. Hajui kwamba kura ni siri.
mimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Kweli ccm ni wababaishaji na matapeli wakubwa inchi hiimimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Lugha za kampeni hizo"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
"Maendeleo hayana chama" - hii kauli hutolewa na nani??"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
"Maendeleo hayana chama" Pombe Raisi wa Tanzania."Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Hawezi mkuu, hana kaliba ya uongozi,amezoea kufokafoka tu na kutumia ubabe"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Nimeona hadi kwenye makundi ta whatsap hata wale pro-magufuli wanakerwa sana na kampeni za kishamba za jpm"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Anatembea anatukana njia nzima kama mlevi wa gongoHawezi mkuu, hana kaliba ya uongozi,amezoea kufokafoka tu na kutumia ubabe