Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu CCM Taifa, Rais Dkt. Magufuli tafadhali achana na Kauli kama hii katika 'Kampeni' zako kwani zinakuharibia na zinachanganya

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu CCM Taifa, Rais Dkt. Magufuli tafadhali achana na Kauli kama hii katika 'Kampeni' zako kwani zinakuharibia na zinachanganya

"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Wanaofirahia kauli hizi ni wale ambao kula yao inategemea Magufuli kaamkaje, ni wale ambao hata akijamba wanashangilia.
Watanzania tukimuacha huyu aendelee na kauli zake tutakuwa tunahalalisha ubabe na baadaye itaonekana ni sahihi sehemu ambako kuna mwakilishi anayetoka chama tofauti na kilichoko madarakani kusipelekwe maendeleo. Katiba yetu inatambua vyama vingi kama mfumo sahihi wa kisiasa nchini, lakini tunaanza kusikia mtu mmoja anaharamisha mfumo wa vyama vingi na kuna mburura wanashangilia.
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Hee! mwenzetu kumbe bado uko nyuma sana... mbona zilishazoeleka hizi, na zimejaa vichwani mwetu. Hata kama ataacha kusema kauli hizi leo is too late! Zilishaingia na kujaa akilini mwetu!
Na kwa vile tuna akili zetu, tutazifanyia kazi comes October!
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Labda watakusikiliza wewe mwenzao. He's shooting himself in the foot.
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Unachoka na nini mkuu?

Ukichoka we hama tuachie mtu wetu. Sie tunamuelewa sana bwana Jiwe.

Msema kweli mpenzi wa "mungu".
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzito
Wapinzani hawataki maendeleo ya vitu sasa asingekuwepo Kapuya mbunge wa CCM mdai maendeleo ya barabara hiyo barabara isingejengwa.Kasome sera ya Chadema hawana mpango na maendeleo ya vitu ina maana ukichagua mbunge wa Chadema sabau maendeleo ya vitu sababu hatayatafuta sera yake hairuhusu
Wala Dr Magufuli hajakosea
Walipo wabunge wa Chadema apeleke maendeleo ya vitu ya nini? Kuchagua mbunge wa Chadema ni kuchagua sera kuwa watu wa eneo hilo hawataki maendeleo ya vitu sasa kama hawataki unawalazimisha kuwapelekea?
 
Mshambiwa Ni kiongozi wa malaika yule

Nyie binadamu acheni kelele zenu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
 
Officially maendeleo yana vyama...ndicho anachokitangaza hadharani!
Kauli za raisi wa watanzania wote, maendeleo hayana chama ANAZIFYEKELEA MBALI!

#Twende_na_Rungwe_2020
#Tukashibe_ubwabwa_kuku

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Mleta mada Magufuli yuko sahihi ukichagua mbunge wa Chadema ujue hutaki maendeleo ya vitu iwe barabara shule hospital nk

Sababu sera yao hawataki vitu Na wako wazi .Uchaguzi ni kuchagua sera sio mtu tu

Ukichagua Chadema ni ujumbe kwa serikali kuwa eneo hilo hamtaki vitu na Raisi anawajibika kuheshimu maamuzi yenu kwa kutoleta vitu iwe barabara au mradi wowote
Wakisema hawalipi kodi, je hawataguswa?
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Kampeni za aina hiyo zinafanyika, maneno ya kudhihirisha ni jinsi gani budget maeneo ya upinzani zinapindishwa, tume ya uchaguzi ipo kimya. Ikiambiwa haina uhalali wa kuwepo, inafura. Kuna muda watanzania watachoka, na atakaewafikisha hapo ni CCM.
 
Mi naona apumzike kupiga campaign au awe anasoma speech.. Inatakiwa akubaliane na hali halisi kuwa hana simile kwenye kuongea mambo ya kusema hapa sileti kitu kisa umechagua upinzan haileti maana ya kuwa wote ni raia wa nchi moja
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Sio kauli za kibabe Bali kibaguzi
 
Nadhani Hapa watu tumeshindwa kutofautisha JPM ni Nani na Kwa wakati Gani
Kwa sasa Magufuri ni Mgombea uraisi kupitia CCM, Ananadi Sera Kwa njia kichama lakin muda huo huo anaitumia kofia ya URais Ambayo Bado anayo Hadi sasa kuombea Kura!!
Kauli kama hiyo uliyo I note hapo!! Kama Una mihemuko yako ya kisiasa utakurupuka kuwa unafokewa
Lakini sivyo JPM kapeleka miradi mbalimbali ya maenndeleo Majimbo mengi Tu ya Upinzani!!
 
Back
Top Bottom