Sasa unafanya nini CHADEMA Kama ni wababaishaji.mimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unafanya nini CHADEMA Kama ni wababaishaji.mimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Unachoka na nini mkuu?
Ukichoka we hama tuachie mtu wetu. Sie tunamuelewa sana bwana Jiwe.
Msema kweli mpenzi wa "mungu".
Si alisema mwenyewe kule Bunda kuwa hajapeleka miradi ya maendeleo Bunda kwa sababu walichagua mpinzani.Nadhani Hapa watu tumeshindwa kutofautisha JPM ni Nani na Kwa wakati Gani
Kwa sasa Magufuri ni Mgombea uraisi kupitia CCM, Ananadi Sera Kwa njia kichama lakin muda huo huo anaitumia kofia ya URais Ambayo Bado anayo Hadi sasa kuombea Kura!!
Kauli kama hiyo uliyo I note hapo!! Kama Una mihemuko yako ya kisiasa utakurupuka kuwa unafokewa
Lakini sivyo JPM kapeleka miradi mbalimbali ya maenndeleo Majimbo mengi Tu ya Upinzani!!
Sasa Kwa Nini Basi anasema maendeleo hayana Chama? Wakati matamshi yake yanakinzana?Bora TANU yetu ya zamani"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
tatizo wabunge wa upinzani wanapitia maendeleo anayoyafanya halafu wanamtukana. Yani unajenga hospitali jimbo la upinzani halafu mpinzani anaekutukana kila siku anakuja kusema " miaka mitano iliopita nimefanikiwa kujenga hospitali naomba mnichague tena ""Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
tatizo wabunge wa upinzani wanapitia maendeleo anayoyafanya halafu wanamtukana. Yani unajenga hospitali jimbo la upinzani halafu mpinzani anaekutukana kila siku anakuja kusema " miaka mitano iliopita nimefanikiwa kujenga hospitali naomba mnichague tena "
Wala haishangazi. Asili yake ni kule kule wanakowindana mpaka kesho kwa ukabila.Mbaguzi huyu hawezi kuaiacha hii kauli. Iko kwenye damu yake
Mshambiwa Ni kiongozi wa malaika yule
Nyie binadamu acheni kelele zenu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
Shida mgombea wenu anaona kufanya kampeni ni kama kukamilisha ratiba tu, kwahiyo haoni kama kauli kama hizo zinaweza kumpunguzia kula kwenye uchaguzi huu, ndio maana ameamua kulopokalopoka kama siyo mngomea vileWana CCM Wenzangu leo niwaambieni tu ukweli kuwa Kauli za 'Kibabe' na zenye 'Ubinafsi' kama hizi 'zinamuharibia' mno Mgombea Wetu Dkt. JPM.
Nadhani kichwa chako kina kasoro kubwa kama sio dalili za kuanza kuokota makopo kama mlivyotabiriwa na katibu mkuu Bashiru Ally.Ni wabunge wapi wa CCM ambao hawachaguliwi wakati bunge lililopita wao ndio walikuwa majority.Au hawachaguliwi kivipi wakati uchaguzi haujafanyika.Nadhani kuna dalili za kuchanganyikiwa hapa wakati kampeni ndiyo kwanza mbichi.Magufuli anachofanya sio sahihi alitakiwa ajiulize kwanini wabunge wa chama chake hawachaguliwi na sio kulazimisha wachaguliwe.
Kila mtu ana uhuru na sababu kwanini amefanya maamuzi ya kuchagua kiongozi fulani.
Kama serikali ilinifanyia dhuruma kwanini niichague au kama imeleta kiongozi mbovu kwanini nichague lakini kitendo chake cha kukataa kuleta maendeleo kisa wamechaguliwa upinzani mbona kodi zao anachukua
Wewe ndio kichwa chako kina matatizo tena unafikiria kwa makalio umeweka uccm wako mbele badala ya kuangalia uhalisia soma uelewe kama huelewi tafuta tuition ulipieNadhani kichwa chako kina kasoro kubwa kama sio dalili za kuanza kuokota makopo kama mlivyotabiriwa na katibu mkuu Bashiru Ally.Ni wabunge wapi wa CCM ambao hawachaguliwi wakati bunge lililopita wao ndio walikuwa majority.Au hawachaguliwi kivipi wakati uchaguzi haujafanyika.Nadhani kuna dalili za kuchanganyikiwa hapa wakati kampeni ndiyo kwanza mbichi.
Atapata kura nyingi za kishindo.Kwanza hata kura zake utata mtupu
Kumbe lengo lenu ni kumuaibisha badala ya kuuza sera.Nyie bado sana kuweza kuunda serikali Endeleeni kuwa wapinzani.Ndiyo maana Mbowe kaingia mituni kuepuka aibu.Hii kauli imetolewa zaidi ya nara tano sasa, Chadema hawajacapitalize kwenye huu udhaifu. Amekuwa anatoa kauli zinazopingana. Chadema mnatakiwa kuongea kwa sauti kuhusu hili. Ndio njia pekee ya kumwaibisha!