Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.
Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?
Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa. Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu. Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.
Ila wanajeshi, usalama, wabunge, wao ndio hawapaswi kufunga mikanda?
 
Ambao wako taabani huko mitaani ni wale waliozeoa mishemishe na kuishi kisanii, sisi ambao tunajitambua na kuamini jasho lako ndio mkombozi namba moja tunaona maisha ni kawaida tu. Changamoto haizwezi kukosekana katika maisha. Kama wewe ni mmoja wa wale walionufaika na ubabaishaji uliokiwepo awamu iliyopita, lazima awamu hii uone maisha magumu. Changamsha akili, si Magufuli, Lisu, Membe n.k atakaebadilisha maisha yako.
Hapo utakuta umeongea free WiFi,,,upo kitaa mtoto WA kiume umepaka na poda,,hujui kuhusu Jasho labda unalopata Kwa goli la mkono,, kiuno cha Dada ako ndo kinakupa jeuri za Ku comment ujuha!.. Hebu sema hizo mishe zako halali ambazo hazijayumba awamu hii
 
Watanzania tuna mrudisha Rais Magufuli kwa asilimia 99 io moja ilo baki watagawa Tundulisu na Membe
 
Watu wamethubutu, pita Quality Center sasa hivi frem zipo tupu maduka yamefungwa.
Hao walizoea kuingiza containers from abroad na kuzitoa bila ushuru. Zama hizo zimepitwa na wakati, ni wale tu ambao walikua wanalipa kodi ya serikali tangu enzi zile ndio wanaendelea na businesses. Kwa nini huzungumzii Baharesa na wengineo?
 
Hapo utakuta umeongea free WiFi,,,upo kitaa mtoto WA kiume umepaka na poda,,hujui kuhusu Jasho labda unalopata Kwa goli la mkono,, kiuno cha Dada ako ndo kinakupa jeuri za Ku comment ujuha!.. Hebu sema hizo mishe zako halali ambazo hazijayumba awamu hii
Matusi hayatakusaida, yanazidi kukupoteza. Bi mdogo msubiri lisu
 
Kama ambavyo siku zote nimekua nikisema kua mimi ni mkweli daima na fitina kwangu mwiko. Ni Mwanaccm hai niliyekitumikia muda mrefu na bado naendelea. Rais wangu ulikosea mambo machache sana pamoja na mengine mengi makubwa uliyofanya.

MAISHA MAGUMU KWA WATANZANIA
Mwenyekiti wangu, maisha ni magumu sana kwa watanzania wote hata mtu kupata milo miwili kwa siku ni shida. Kama wasaidizi hawasemi ukweli mkuu huko mitaani watu taabani kuliko awamu iliyopita. Watu walioko vijijini hawataki kujua Dar es salaam kuna marababara za juu au kuna Airport, hawajui kama kama kuna makubwa yamefanyika. Wao wanataka maisha mazuri.
Kiukweli akitokea mgombea atakayewaambia vizuri walalahoi hawa kura zote atapewa.

BIASHARA KUA NGUMU
Kwa sasa maisha ya wafanyabishara yamekua magumu kabisa kila mahali kuliko awamu iliyopita, lipo tatizo kubwa ambalo kama tusiposema ukweli CCM hakuna mfanyabiashara atakayetupatia kura.

MAISHA MAGUMU KWA WAFANYAKAZI WA UMMA
Ni muda sasa wafanyakazi wa umma wanalia na maslahi duni, wengi hawana amani.
Hapa kura hatupati kabisa katika kundi hili tupende tusipende. Akitokea mgombea atakayeongea vizuri na kundi hili anaweza kuvuna kura nyingi sana na atapewa ushirikiano mkubwa .Wao wanaangalia mtu atakayewajali vizuri.

Mimi najaribu kusema msije mkasema hatukurlshauri.
Ngoja waje
 
Wapo walio graduate mwaka huo huo wakaanzisha ufugaji wa kuku kwa msingi wa TZS 2,000,000 sasa hivi they are talking of 3 - 4mil a month. Msubiri Lisu, wengi wenu mnaamini nyumbani kwake amefunga bomba la ajira ambalo anasubiri achaguliwe ili alifunguwe ambao hamna ajira mpate ajira.
Hizo 2,000,000/= alizinya wapi?
 
Wapo walio graduate mwaka huo huo wakaanzisha ufugaji wa kuku kwa msingi wa TZS 2,000,000 sasa hivi they are talking of 3 - 4mil a month. Msubiri Lisu, wengi wenu mnaamini nyumbani kwake amefunga bomba la ajira ambalo anasubiri achaguliwe ili alifunguwe ambao hamna ajira mpate ajira.

Ukada wa aina hii ni zaidi ya upumbavu na ulofa uliousema Mkapa.

Hao kuku unamuuzia nani watu hawana pesa. Mimi ni Daktari nimejiari,imeshatokea mara tatu kuna jamaa wametoka kijijini huko na wagonjwa wao wakabeba kuku ili wauze wapate pesa kwa ajili ya matibabu. Wamezinguka na kuku wao tena wa kienyeji hawajapata mtu wa kumuuzia mwisho wa siku wakaja kuomba niwatibu wagonjwa wanipe kuku ukabidi niwasaidie tu.
 
Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.

Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?

Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.

Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.

Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.

Lakini hakuna siku amewahi kusema tunapita kwenye dhiki kila siku anasema tuko vizuri na kuna mmoja amechangia kuwa wale waliozoea ujanja ujanja ndo wanaona maisha magumu. Kwanini tunadanganywa badala ya kuambizana ukweli hakuna jambo baya kama kutudanganya kuwa maisha ni mazuri na uchumi unakuwa vizuri wakati watu wako hoi si wafanya biashara si wafanyakazi si wakulima. Kwa kauli hizo za kejeli na hii hali waliyonao wananchi hakuna tofauti na utawala wa makaburu wa afrika ya kusini ambao walikuwa wanajenga miundo mbinu lakini wananchi wakiwa na maisha magumu hawana uhuru ndiyo maana wakaanzisha mapambano, hakuna kitu kinaweza kuchukuwa nafasi ya uhuru wa watu katika nchi yao kuwepo mazingira mazuri ya kujipatia maendeleo siyo hii hali iliyopo sasa. Tunahitaji mabadiliko hakuna namna.
 
Na kama kuna mtanzania wa aina yako anaetegemea Lisu ndio atabadilisha maisha yake, nakubaliana na wewe kua mna shida kwenye mifumo yenu ya fahamu. Maisha yako utayabadilisha mwenyewe kwa kuonyesha uthubutu katika kupambana na maisha badala ya kusubiri mwanasiasa akufanyie hivyo. Utasubiri sana kijana.
Acha porojo wewe unaenufaika na awamu hii huku wenzako wakiangamia..
 
Wapo walio graduate mwaka huo huo wakaanzisha ufugaji wa kuku kwa msingi wa TZS 2,000,000 sasa hivi they are talking of 3 - 4mil a month. Msubiri Lisu, wengi wenu mnaamini nyumbani kwake amefunga bomba la ajira ambalo anasubiri achaguliwe ili alifunguwe ambao hamna ajira mpate ajira.

Kwani kikwete na Mkapa walikuwa wamefunga bomba la ajira Mbona wakati wao miradi ya maendeleo ilifanywa na hali ya maisha ilikuwa nzuri tuache kudanganya hii awamu imeshindwa kabisa ni bora kupisha wengine. Sasa hivi hata ukiwa na bishara hakuna wanunuzi, watu sasa hivi wanaona kula mayai ni luxury kula kuku pia matokeo yake ufugaji umekuwa hauna faida ni hasara tu. Haya maisha gani. Wote wanaosifia wako kwenye system ya utawala wafanya biashara na wakulima wanaelewa hali halisi ilivyo mbaya kimaisha.
 
Kama ambavyo siku zote nimekua nikisema kua mimi ni mkweli daima na fitina kwangu mwiko. Ni Mwanaccm hai niliyekitumikia muda mrefu na bado naendelea. Rais wangu ulikosea mambo machache sana pamoja na mengine mengi makubwa uliyofanya.

MAISHA MAGUMU KWA WATANZANIA
Mwenyekiti wangu, maisha ni magumu sana kwa watanzania wote hata mtu kupata milo miwili kwa siku ni shida. Kama wasaidizi hawasemi ukweli mkuu huko mitaani watu taabani kuliko awamu iliyopita. Watu walioko vijijini hawataki kujua Dar es salaam kuna marababara za juu au kuna Airport, hawajui kama kama kuna makubwa yamefanyika. Wao wanataka maisha mazuri.
Kiukweli akitokea mgombea atakayewaambia vizuri walalahoi hawa kura zote atapewa.

BIASHARA KUA NGUMU
Kwa sasa maisha ya wafanyabishara yamekua magumu kabisa kila mahali kuliko awamu iliyopita, lipo tatizo kubwa ambalo kama tusiposema ukweli CCM hakuna mfanyabiashara atakayetupatia kura.

MAISHA MAGUMU KWA WAFANYAKAZI WA UMMA
Ni muda sasa wafanyakazi wa umma wanalia na maslahi duni, wengi hawana amani.
Hapa kura hatupati kabisa katika kundi hili tupende tusipende. Akitokea mgombea atakayeongea vizuri na kundi hili anaweza kuvuna kura nyingi sana na atapewa ushirikiano mkubwa .Wao wanaangalia mtu atakayewajali vizuri.

Mimi najaribu kusema msije mkasema hatukurlshauri.
Atapigiwa kura na flyover, stiglers na zahanati zisizo na dawa. Maisha ya wananchi si lolote wala chochote kwake, vitu kwake ndio cha kwanza kuliko watu.
 
Whether he is a failure or not, not of business coz simtegemei magufuli kwa namna yeyote ile. it seems huna upeo wa kutosha wa kuelewa mfumo wa maisha ulivyo. Hao unaowatokea mifano hujui matatizo yao yaliyopelekea kujikuta katika hali waliyonayo. Kama wewe ulikua unaibia serikali kwa nini usifilisiwe. Kwa nini hutetei watumishi hewa? Bring facts and figures kuthibitisha magufuli ameharibu uchumi, usikariri maneno ya wengine.

Sera mbovu za Uchumi ndiyo zimetufikisha hapa tulipo haiwezekani watu walikuwa wana makampuni yanafanya vizuri tu hadi yamefilisika halafu mtu anasema anataka ushahidi wa namna uchumi ulivoharibiwa. Kila kitu kimeharibika korosho wote tunaona kilichofanyika huo siyo uharibifu ushahidi gani unataka.
 
Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.

Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?

Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.

Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.

Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.
Unamaanisha wananchi waishi maisha hayahaya kwa miaka 15 ijayo ambapo SGR itakuwa imekamilika ?
Unamaanisha wafanyakazi wasiongezewe mishahara kwa miaka 15 ijayo?

Unamaanisha uhuru wa kisiasa uaiwepo kwa miaka 15 ijayo kisa tunajenga SGR?

Hiyo si sababu , mkuu wetu alifeli kwenye approach tu kama hizo ni sababu makini alipaswa aahidi hivyo kwenye kampeni zake kuliko kuahidi kinyume huku unatenda kinyume baada ya kuingia madarakani
Kwa wakati wote huo sekta ya kilimo inayowagusa wengi iwe mahututi kisa tunajenga SGR ati tunafunga mkanda duhhh
Hapana
 
Back
Top Bottom