Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

unaelewa maaana ya capitalism? haiwezekani kila mtu afanikiwe katika maisha nahaitakuja kutokea lazima kue na madaraja life lisogee, sasa kubaki chini ni wewe mwenyewe uamue! and thats how the economy is designedm haiwezekani wote wafanikiwe ndo maaana ela znawekwa kwa uchache, ili atakaepata awe amefanya kazi kweli kweli
Sio kweli,ukiruhusu mzunguko mzuri wa pesa wengi watajikwamua watazalisha then utakusanya Kodi zaidi
 
Sera mbovu za Uchumi ndiyo zimetufikisha hapa tulipo haiwezekani watu walikuwa wana makampuni yanafanya vizuri tu hadi yamefilisika halafu mtu anasema anataka ushahidi wa namna uchumi ulivoharibiwa. Kila kitu kimeharibika korosho wote tunaona kilichofanyika huo siyo uharibifu ushahidi gani unataka.
Korosho ni sehemu ndogo sana tukizungumzia uchumi. Niambie inachangia kiasi gani katika pato la taifa?
 
Sio kweli,ukiruhusu mzunguko mzuri wa pesa wengi watajikwamua watazalisha then utakusanya Kodi zaidi

unaelewa maaana ya capitalism? ushawahi kuskia msemo unasema "survival for the fittest", kama huelewi capitalism we endelea kusubiri ni yeye
 
unaelewa maaana ya capitalism? ushawahi kuskia msemo unasema "survival for the fittest", kama huelewi capitalism we endelea kusubiri ni yeye
Capitalism ndio mfumo sahihi hata Mungu ndo anautambua Soma kuhusu kisa Cha talanta,zaka,asiyefanya kazi na asile kwa uchache.
Capitalism ndo uleta maendeleo na wote wananchi huwa na equal chance ya kusucces,ni matumizi tu ya akili
 
Mimi nina mdogo wangu amegraduate udsm mwaka 2016 na hana ajira hadi leo. Huyu alikuwa mpiga dili gani???

Mie niligraduate SUA mwaka 2009 na 2010 kipindi cha JK nilipata kazi kwenye kampuni binafsi ya utafiti wa mazao!!

Magufuli wenu amefeli vibaya na lazima aanguke mwaka huu pamoja na kubebwa na vyombo vyenu vya Habari uchwara.
Mkuu hukulisoma lile shairi la Kama Mnataka Mali Mtayapata Shambani? Umemaliza SUA kwa nini hukwenda mwituni ukaanza kulima?
 
sijawai kufika chuo chochote ntapataje mtaji wa 2,000,000
Ok its simple kama kweli uko serious, jiunge kikundi then zipo taasisi nyingi zinasaidia watu wa aina yako. Cha msingi uthibitishe uko serious na una mpango serious wa kujikwamua hapo ulipo
 
Mimi mwenzenu naingoja kesho maana kelele za wengi ndizo huwa zinanichanganya ,mimi binafsi nampongeza kwa kile alicho weza kufanya katika kipindi cha miaka 5 but tupambane kwa kujishughulisha maana maisha yamekuwa ghari
 
Mkuu hukulisoma lile shairi la Kama Mnataka Mali Mtayapata Shambani? Umemaliza SUA kwa nini hukwenda mwituni ukaanza kulima?
Punguani huyo, alihitimu SUA halafu analalamika ajira hana huyo alikua msindikizaji huko SUA. Acha maisha ya mfundishe maisha
 
Ok its simple kama kweli uko serious, jiunge kikundi then zipo taasisi nyingi zinasaidia watu wa aina yako. Cha msingi uthibitishe uko serious na una mpango serious wa kujikwamua hapo ulipo
kwanini usizitaje iwe faida kwa wengine kama mimi maana nimesubilia M50 kila kijiji sijaziona
 
Kuna biashara nyingi sana halali zinafungwa huku mtaani kwa kukosa wateja,hali ya kiuchumi ni mbaya.

Mkiendelea kumsifia na kuacha kumuambia ukweli huyo Magufuli watu watakufa kwenye malori kwa kukosa hewa wakikimbia nchi yao kama wanavyokufa Waethopia pamoja na kuwa na shirika la ndege kubwa kabisa Afrika,reli ya umeme na mabwawa ya kufua umeme.
Ndugu ni wapi nimemsifia mwanasiasa hapo? Mwansiasa husifiwa na mwanasiasa mwenzake, mm sio sehemu yao. Mimi ni mpambanaji kuhakikisha naishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule zinazoeleweka na zinazowaandaa kujitegemea badala ya kutegemea hisani za wanasiasa. By the way, unaijua historia ya Ethiopian airline au unaongea tu?
 
Kujadiliana na muhanga wa "matamko" kama wewe ni kupoteza muda. Endelea kuota ndoto za lisu kuwa raisi wako, it seems neno "upumbavu" ndio neno la kwanza walilojifunza wazazi wako kutoka kwa wapumbavu waliowazaa, kwa sababu wazazi wako walipewa malezi yavkipumbavu, wakakuzaa wewe mpumbavu na ukakua kipumbavu ndio maana kila unaeshindwa kupingana naw kwa hoja unadhani ni mpumbavu kama wewe na hao wapumbavu waliokulea
Naomba jibu kwenye swali langu. Kuingilia bei biashara ya sukari alikofanya magufuli na kupelekea bei kupanda kutoka 1800 kwa kilo hadi 2800/3000 huko sio kuharibu uchumi????

Usihamishe magoli kwa kujifanya umepaniki na matusi yako!!
 
kwanini usizitaje iwe faida kwa wengine kama mimi maana nimesubilia M50 kila kijiji sijaziona
Ngudu ukiamini maneno ya wanasiasa utazeeka kabla siku zako hazijafika. Subiria M100 za lisu zikukombowe kimaisha. Matarajio yako na wenzako lisu akibahatika kuingia ikulu kitu cha kwanza atakachofanya ni kuwakusanya wote ambao hawana ajira awape ajira, wote ambao hawana hela awape mitaji, wote ambao ni masikini awajaze fedha!
 
Naomba jibu kwenye swali langu. Kuingilia bei biashara ya sukari alikofanya magufuli na kupelekea bei kupanda kutoka 1800 kwa kilo hadi 2800/3000 huko sio kuharibu uchumi????

Usihamishe magoli kwa kujifanya umepaniki na matusi yako!!
Hahahaaa, mimi na wewe nani wa kupaniki? Waulize wenye viwanda kwa nini bei imepanda?
 
Capitalism ndio mfumo sahihi hata Mungu ndo anautambua Soma kuhusu kisa Cha talanta,zaka,asiyefanya kazi na asile kwa uchache.
Capitalism ndo uleta maendeleo na wote wananchi huwa na equal chance ya kusucces,ni matumizi tu ya akili

wewe ulikimbia shule. mbna capiatalism ni topic ya form 1 dogo!
 
Hahahaaa, mimi na wewe nani wa kupaniki? Waulize wenye viwanda kwa nini bei imepanda?
Naona umekimbia swali eeeh!! Safi ndo ujue ni kwa jinsi gani mtu wenu kaharibu uchumi wetu.

Na October 2020 tunamstaafisha rasmi arudi chato
 
Back
Top Bottom