Sio kweli,ukiruhusu mzunguko mzuri wa pesa wengi watajikwamua watazalisha then utakusanya Kodi zaidiunaelewa maaana ya capitalism? haiwezekani kila mtu afanikiwe katika maisha nahaitakuja kutokea lazima kue na madaraja life lisogee, sasa kubaki chini ni wewe mwenyewe uamue! and thats how the economy is designedm haiwezekani wote wafanikiwe ndo maaana ela znawekwa kwa uchache, ili atakaepata awe amefanya kazi kweli kweli