Sio kweli,ukiruhusu mzunguko mzuri wa pesa wengi watajikwamua watazalisha then utakusanya Kodi zaidiunaelewa maaana ya capitalism? haiwezekani kila mtu afanikiwe katika maisha nahaitakuja kutokea lazima kue na madaraja life lisogee, sasa kubaki chini ni wewe mwenyewe uamue! and thats how the economy is designedm haiwezekani wote wafanikiwe ndo maaana ela znawekwa kwa uchache, ili atakaepata awe amefanya kazi kweli kweli
Korosho ni sehemu ndogo sana tukizungumzia uchumi. Niambie inachangia kiasi gani katika pato la taifa?Sera mbovu za Uchumi ndiyo zimetufikisha hapa tulipo haiwezekani watu walikuwa wana makampuni yanafanya vizuri tu hadi yamefilisika halafu mtu anasema anataka ushahidi wa namna uchumi ulivoharibiwa. Kila kitu kimeharibika korosho wote tunaona kilichofanyika huo siyo uharibifu ushahidi gani unataka.
sijawai kufika chuo chochote ntapataje mtaji wa 2,000,000Wewe lile boom kama ulikua unagawa kwa mahawara, that was your own funeral, usilaumu mwanasiasa
Sio kweli,ukiruhusu mzunguko mzuri wa pesa wengi watajikwamua watazalisha then utakusanya Kodi zaidi
Capitalism ndio mfumo sahihi hata Mungu ndo anautambua Soma kuhusu kisa Cha talanta,zaka,asiyefanya kazi na asile kwa uchache.unaelewa maaana ya capitalism? ushawahi kuskia msemo unasema "survival for the fittest", kama huelewi capitalism we endelea kusubiri ni yeye
Mkuu hukulisoma lile shairi la Kama Mnataka Mali Mtayapata Shambani? Umemaliza SUA kwa nini hukwenda mwituni ukaanza kulima?Mimi nina mdogo wangu amegraduate udsm mwaka 2016 na hana ajira hadi leo. Huyu alikuwa mpiga dili gani???
Mie niligraduate SUA mwaka 2009 na 2010 kipindi cha JK nilipata kazi kwenye kampuni binafsi ya utafiti wa mazao!!
Magufuli wenu amefeli vibaya na lazima aanguke mwaka huu pamoja na kubebwa na vyombo vyenu vya Habari uchwara.
Ok its simple kama kweli uko serious, jiunge kikundi then zipo taasisi nyingi zinasaidia watu wa aina yako. Cha msingi uthibitishe uko serious na una mpango serious wa kujikwamua hapo uliposijawai kufika chuo chochote ntapataje mtaji wa 2,000,000
Punguani huyo, alihitimu SUA halafu analalamika ajira hana huyo alikua msindikizaji huko SUA. Acha maisha ya mfundishe maishaMkuu hukulisoma lile shairi la Kama Mnataka Mali Mtayapata Shambani? Umemaliza SUA kwa nini hukwenda mwituni ukaanza kulima?
kwanini usizitaje iwe faida kwa wengine kama mimi maana nimesubilia M50 kila kijiji sijazionaOk its simple kama kweli uko serious, jiunge kikundi then zipo taasisi nyingi zinasaidia watu wa aina yako. Cha msingi uthibitishe uko serious na una mpango serious wa kujikwamua hapo ulipo
Mie ninalima saivi Ruvuma HukuMkuu hukulisoma lile shairi la Kama Mnataka Mali Mtayapata Shambani? Umemaliza SUA kwa nini hukwenda mwituni ukaanza kulima?
Ndugu ni wapi nimemsifia mwanasiasa hapo? Mwansiasa husifiwa na mwanasiasa mwenzake, mm sio sehemu yao. Mimi ni mpambanaji kuhakikisha naishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule zinazoeleweka na zinazowaandaa kujitegemea badala ya kutegemea hisani za wanasiasa. By the way, unaijua historia ya Ethiopian airline au unaongea tu?Kuna biashara nyingi sana halali zinafungwa huku mtaani kwa kukosa wateja,hali ya kiuchumi ni mbaya.
Mkiendelea kumsifia na kuacha kumuambia ukweli huyo Magufuli watu watakufa kwenye malori kwa kukosa hewa wakikimbia nchi yao kama wanavyokufa Waethopia pamoja na kuwa na shirika la ndege kubwa kabisa Afrika,reli ya umeme na mabwawa ya kufua umeme.
Naomba jibu kwenye swali langu. Kuingilia bei biashara ya sukari alikofanya magufuli na kupelekea bei kupanda kutoka 1800 kwa kilo hadi 2800/3000 huko sio kuharibu uchumi????Kujadiliana na muhanga wa "matamko" kama wewe ni kupoteza muda. Endelea kuota ndoto za lisu kuwa raisi wako, it seems neno "upumbavu" ndio neno la kwanza walilojifunza wazazi wako kutoka kwa wapumbavu waliowazaa, kwa sababu wazazi wako walipewa malezi yavkipumbavu, wakakuzaa wewe mpumbavu na ukakua kipumbavu ndio maana kila unaeshindwa kupingana naw kwa hoja unadhani ni mpumbavu kama wewe na hao wapumbavu waliokulea
Ngudu ukiamini maneno ya wanasiasa utazeeka kabla siku zako hazijafika. Subiria M100 za lisu zikukombowe kimaisha. Matarajio yako na wenzako lisu akibahatika kuingia ikulu kitu cha kwanza atakachofanya ni kuwakusanya wote ambao hawana ajira awape ajira, wote ambao hawana hela awape mitaji, wote ambao ni masikini awajaze fedha!kwanini usizitaje iwe faida kwa wengine kama mimi maana nimesubilia M50 kila kijiji sijaziona
...kuhangaika na wanasiasa?? Mbona we unashupalia kutetea mh pombe?!Ujuaji na wingi wa matusi hautakusaidia. Nitafute nikupe skill za ufugaji kama kweli unataka kujikomboa kimaisha badala ya kuhangaika na wanasiasa.
Hahahaaa, mimi na wewe nani wa kupaniki? Waulize wenye viwanda kwa nini bei imepanda?Naomba jibu kwenye swali langu. Kuingilia bei biashara ya sukari alikofanya magufuli na kupelekea bei kupanda kutoka 1800 kwa kilo hadi 2800/3000 huko sio kuharibu uchumi????
Usihamishe magoli kwa kujifanya umepaniki na matusi yako!!
Wapi nimetete magufuli? Read between lines...kuhangaika na wanasiasa?? Mbona we unashupalia kutetea mh pombe?!
Capitalism ndio mfumo sahihi hata Mungu ndo anautambua Soma kuhusu kisa Cha talanta,zaka,asiyefanya kazi na asile kwa uchache.
Capitalism ndo uleta maendeleo na wote wananchi huwa na equal chance ya kusucces,ni matumizi tu ya akili
Naona umekimbia swali eeeh!! Safi ndo ujue ni kwa jinsi gani mtu wenu kaharibu uchumi wetu.Hahahaaa, mimi na wewe nani wa kupaniki? Waulize wenye viwanda kwa nini bei imepanda?