Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

Wewe ni mnufaika wa utawala huu zile pesa za wamiliki wa maduka ya kubadili pesa za kigeni nyingi umeziiba wewe kimishemishe
 
Sasa tunakubaliana tujinyime wote tufanye kile au hiki..sio kusema nchi hii tajiri wakati tunajua sio.
 
Umesahau wa vyeti fake kudhulumiwa mafao yao waliyokatwa kipindi chote ha ajira. Na pi hao vyeti fake wengine nawajua kabisa walionewa tu
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.
Hizi ndio bangi yaani umeambiwa ukweli wote huo bado unasupport kusiposapotiwa .
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.
Utakuwa umedanganywa..maisha bora yako Scandinavia...hakuna masikini labda uwe teja au mlevi mbwa
 
Ila na sisi watanzania tumezoeshwa Vibaya, kwamba ukisoma ni kuajiriwa. Unakuta mtu kasomea ualimu lakini hata, kufundisha tuition mtaani hataki miaka anakaa nyumbani anasubiri ajira.
 
Yaaani wanatufsnya sisi wote wajinga sisi si wajinga
 
Ndo kinachoshangaza watu na akili zao wanasema tujinyime wakati pesa zinachezewa kila mtu anaona zingine zinanunua wapinzani kuliko kuongeza mishahara
Mimi napitia kila comment sitaki kuwa upande.
Hili la kununua wapinzani haliathiri uchumi maana ni biashara kama zingine sasa labda tu kuwepa kodi ila pesa inaingia kwenye mzunguko hadi sisi tunakula bata mtaani akinunuliwa diwani wetu
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.
Mnaboa sana watu kama nyie na hapo ulipo unajua kabisa yaliyozungumzwa na mdau hapo juu ni kweli tupu tukiacha kusema kwa upande wa siasa ila wewe badala ya kushauri tufanyeje kama chama unataka kuleta ubishani na utetezi usiokua na tija ifike mahali tuwe tunakubaliana na ukweli tusisifie kupita kiasi
 
sasa mbona uyo lisu unamsemea ayo maneno sijui M100 tena nanimekwambia nitajie ayo maeneo nifike unaniambia usiamini maneno ya wana siasa mkuu taja yale maeneo kwa faida yangu na wengine
 
Mkuu hapo kwenye dhiki ya muda unamanisha mpaka watu tutastaafu kwa mishahara hii kweli?
 
Wacha uongo wewe mbona mnakua wanafiki hivi jameni?
 
 
Wacha uongo wewe mbona mnakua wanafiki hivi jameni?
Endelea kuamini hivyo unavyoamini, utasubiru hadi unaingia kaburini ukiwa katika hali hiyo hiyo ya miserable life
 
usidhan kila mmoja anayo iyo pesa unayoizungumzia
Ndugu fursa huwezi kuipata kwa kushinda kwenye FB, JF nk. Go out there and interact with those who have been successful, seek their advice, trust me you can gain more that can help to change your life
 
Bora hata angekuwa anaeleza haya kwa kauli ya ustalabu tungemwelewa.bali yeye anasema pesa IPO...tunanunua ndege KESHI...TANZANIA NI TAJIRI.hivi hata kama ni wewe unamdai mtu halafu hakulipi huku anajigamba kuwa anazo pesa utamuelewaje? Huyu magufuli hatufai kabisa amejaa misifa tu kwa kuwa yeye hana shida kama sisi tunaoitwa wanyonge
 
Tunataka free of speech sio kuogopa kutekwa
There is no right without limitations, freedom of speech ok, lakini wewe kama wewe inakusaidia vipi kuinua maisha yako? Akina lisu na wengineo wanawatumia nyinyi walalahoi kwa vigezo vya demokrasia na uhuru wa kuongea nk kwa ajili ya kutimiza malengo yao ya kisiasa hatimaye kunufaika wao, jamaa zao na marafiki zao. Angalia kila kiongozi anaeingia madarakani wateule wao wanatoka miongoni mwa walalahoi au miongoni mwa maswahiba wao? Hangaikia maisha yako na familia yako. Hakuna haki katika dunia hii, haki iko kwa Muumba peke yake ambayo utaipata baada ya maisha ya dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…