Sijui Kama Kuna mwanadamu anaijua milele,,,Unaposema itatawala milele unakuwa unawapangia watu sivyo Mana milele huijui.Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Wakubali tuwe na tume huru ya uchaguzi kama watashinda hao inzi wa kijaniMkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Jishike kifuani halafu tamka, "Mimi ni mpu.mbavu"Kila anayeulaumu utawala wa awamu ya 5 ni mwendawazimu na anastahili kufa kwa kunyongwa maana ni mwizi, mla rushwa, mvivu na msaliti.
Alivyoitwa bu.nge.ni alitishiwa kifo na familia yake kufungiwa mianya ya kupata chochote kitu..Paskali siku hizi mbona umekuwa mdebwedo kiasi hicho? Siku hizi hujadili issues kwa hoja ni mwendo wa hisia tu. Kule kwetu Mayala inamaanisha njaa sasa hii naona inaelekea kuwa Mayala kali!
Jumuia za kimataifa sasa zinapanga kuikataa CCM itoke ikulu wamechoka kuisikia akina polepole na siasa zao za uonevu na dili za 10% kuwanunua wapinzani kisha kula cha juu wamejua CCM inakula pesa za misaada kwa kazi haramu za kuminya demokrasia kuwabambikia kesi wapinzani kuwapiga risasi na unyanyasaji mwingineo mwingi ukiwemo huu wa Asikari magereza kuwapiga wabunge wa chadema.Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Wewe mwenyewe hujielewi utawezaje kujua chama mbadala? Kama chadema kisingekuwa na nguvu iweje CCM ipige marufuku mikutano ya siasa? Kama chadema siyo chama mbadala iweje CCM iwapore ushindi kwenye chaguzi mbalimbali, iweje CCM watumie pesa za walipa kodi kuwadhoofisha chadema kwa kuwabambikia kesi? Kuwapiga risasi kuwahujumu kwa kila hali na sasa Asikari magereza wanataka kuwaua kwa kisingizio cha kishamba kuwa walifanya vurugu, wewe hata Akili ya mwanao huna? Kama chama hakiwezi kuingia ikulu CCM wasingekuwa wanatumia nguvu kubwa kuua upinzani Nchini.Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
Wewe mbweha Mbona wizi sasa ndiyo umezidi tokea Nchi ipate uhuru, mianya ipi imezibwa?ununuzi wa Ndege kwa cash wamekula 10% ujenzi wa reli, flyover zote wanakula 10% ununuzi wa wabunge madiwani wanachama wa upinzani kote wajanja huko CCM wanapiga 10% wewe kaa na ujinga wako huko ulipo lakini wenzako wanachukua chao mapema, pesa madini vyote walivyokamata Airport mipakani wanajiminyia, watanzania siyo wajinga kama wewe, kumbuka watanzania wana Akili kuliko wewe acha kuishi kwa kukariri Akili za boss wako cyprian Musiba na kubwa jinga Le mutuz zAcha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
Ni kweli.Kipigo cha Bulaya kinadhihirisha hilo.Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Polepole na katibu mkuu wa CCM wana kadi za ukawa ndiyo maana wanaichuza CCM inafanya vya hovyo ikifa waje kurejea kwao baadaeKada kada kada...nikuambie ukweli mimi ni CCM sijawahi kuwa mpinzani kwa maana ya chama...nina kadi yangu ya ccm na sitoitupa ila naungana na wapinzani kupinga uovu na mabavu ya kipumbavu, narudia MABAVU YA KIPUMBAVU
Mahakama ya uhalifu wa kimataifa imewatuma wapelelezi wa kwa siri wanakusanya ushahidi mda si mrefu mkuu wa magereza na waziri wa mambo ya ndani watafikishwa kwenye mahakama ya The Hague kujibu tuhuma zao.CCM Kimekuwa Chama cha hovyo sana. Yaani kinategwa na chenyewe kinaingia mtegoni kiboyaboya.
Hayo mawazo wengi wasiojitambua walikuwa nayo, wakidhania kuwa wanaolalamika maisha yamekuwa magumu ni yale mafisadi, kwamba mianya imezibwa, na wao watakuwa na uhauweni!!!!! Kumbe wao sasa ndio kiama, hata yule muuza mchicha, nyanya, vitumbua, anlalamika kuwa biashara mbaya!!! Ingekuwa inapendwa ingeogopa uchaguzi? Siasa za kulazimishwa kupenda?!!! Wananchi walichofanya wiki jana, kwa kuwachangia viongozi wa cdm, kimewapagawisha mno!! Kwani hamjaamini kuwa miaka mitano, hakifanyi siasa, lakini kiko mioyoni mwa watu!!!!Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Malawi kenya Congo Zambia ghana Gambia waliweza sembuse Tanzania? mda si mrefu CCM itakuwa chama cha upinzani kama Kanu ya kenyaP
tunza maneno yako kwa siku za baadae brother, siku zote yaonekanapo magumu sana ujue yanakatibia kulainika na hicho ambacho unaona hakiwezi kutokea kwa ccm kinaweza kushangaza ulimwengu hata kama sio katika hii erection ila yote yanawezekana lakini kwa kuko conclude kwamba haiwezekani basi wewe utakuwa hauamini katika mabadiliko ya kitu chochote kwenye hii dunia..hakuna kilicho Cha kudumu katika hii dunia.
Mkuu umakini wa ccm binafsi siuoni, uwepo wao upo kwenye mamlaka ya dola waliyo nayo. Binafsi naamini kabisa kundi lolote au hata mtu binafsi anaweza kufanya kinacho fanywa na ccm provided anayo nguvu ya dola. You command and conquer, anaye kataa kutii anashughulikiwa!!Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Duh...!. Mkuu Kigogo, yamekuwa haya...!.Nafikiri na stress za alivyochapiwa mke wake zinachangia aongee kinyesi muda wote
Endelea kuota! Hivi ukisema wewe ni mpinzani utakuwa mgonjwa wa Corona?Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Huo ndiyo umakini wenyewe mkuu! Sasa wapinzani kila siku kugombana na dola tuu!!Mkuu umakini wa ccm binafsi siuoni, uwepo wao upo kwenye mamlaka ya dola waliyo nayo. Binafsi naamini kabisa kundi lolote au hata mtu binafsi anaweza kufanya kinacho fanywa na ccm provided anayo nguvu ya dola. You command and conquer, anaye kataa kutii anashughulikiwa!!
Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
Gaddafi, Saddam, Mubarak!!!!!Kila anakopita mpaka uchagani wanasema asante CCM, asante Dr Magufuli, hiyo ni dalili kubwa ya ushindi wa kishindo