macson3
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,134
- 1,230
Huyu lazima ni Mdee anahangaika na mkono wake mmoja ku typeAcha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
macson