Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wetu wa Chama ameshika hatamu, Fomu ya kuomba uteuzi kugombea Urais ni moja tu!

Sio kweli kwamba Trump hakuwa na wapinzani kwenye mchakato wa kupata mgombea kwa chama cha republican.Fuatilia vizuri utajua Trump mwaka huu alishindana na nani?kwa ufahamu wangu kwenye nominations za republican Trump alikuwa na wapinzani kama watatu hivi lakini hawakuwa na nguvu sana,Alikuwepo Wiliam Feld,Joel Walsh na Mark Sanford
 
Kuwa msukule ni adhabu. Hufuatili hata vyombo vya habari!!? Wewe ni kulishwa tu pumba ndio ujuavyo!?
 

Una point ya maana ya kuzungumza lakini sijui uongo unakusaidia nini. RNC au DNC ndio hupitisha mgombea. Trump hajapitishwa bado, hata Biden pia na ni kwa sbb conventions hazijafanyika! Mchakato unakamilika kwenye hizo conventions!!
 
Hahahhaha... Kwanini chadema mnamuogopa sana Magufuli?

Yani mngekuwa na uwezo mngewawekea ccm mgombea wenu ila ndio hivyo hamna jinsi na mkizubaa ccm inawaletea Membe huko
 
Akili za Maiti hizi
 
Sasa wewe mzee, kwani katiba ya chama chetu mama (ccm) inasemaje? tuanzie hapo kwanza kwa kiongozi ambaye tayari ni ameshashika awamu ya kwanza.
 
Unatolea mfano kwa mabeberu!
Mnawainga eeh!
Mbona mnasema hawafai?
 
Tafiti kabla ya kuanza kuropoka.

Kuna tofauti kubwa kati ya kuwapa watu haki na wakaacha kuitumia na kuwanyima kabisa.

Hao wote unawaotolea mfano hawakukataza watu wengine wasigombee, ni watu wenyewe waliona hamna haja maana hawatashinda hata wakiamua.

By the way Trump aligombea na watu kadhaa

 
Huyu ni mbulula tu, hafanyi research hata ndogo tu kuona kama anaongea upumbavu
 
Tusiwaige mabeberu Mkuu, mabeberu si tuwaachie chadema, au unasemaje?
 
Manyumbu hao, wapo mbugani wanatangatanga
 
Nilitegemea Jaji Msajili ndg Mutungi ajitokeze kukifata Ccm kwa kuminya Uhuru na democrasia kinyume na katiba yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…