Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Chama cha CUF kimekufa bila mwenyekiti wala kiongozi wao kunyanyaswa waziwazi, walishughulika na matumbo ya viongoz chama kikafa.
NCCR ilisambaratishwa bila viongozi kupitia magumu ya Chadema.
ACT inajijenga kwa kujimomonyoa kwasababu Toka mwanzo ilianzishwa kupambana na Chama alichotoka mwasisi wake na siyo kupambana mfumo kwa lengo la kushika dola.
Chadema imepoteza makatibu wakuu wawili Hawa ndio walikuwa waandaaji wa kila kitu kwenye chama wote leo wapo CCM. Tuliamini wakienda huko wataenda na Siri za chama kumbe chama hakina Siri kubwa zaidi ya kusimama na wananchi. Hii NDIYO Siri pekee ya Chadema na inaimarika kwasababu pamoja na kuwa na Watu wenye njaa Lakini wapo wachache wasiojali ukubwa wa njaa.
Leo hii kutokana na ukubwa wa Chadema wapo watu waliamini Chadema ni lisu wakaangaika naye lakini akiwa kitandani na nje ya Nchi chama kiliendelea.
Wapo walioamini chadema ni Mbowe, wakamweka ndani mwaka sasa lakini chadema Bado kipo imara. Maana yake ni kwamba ; lipo tatizo la watafiti nchini.
Ninachokiona Mimi ni kwamba, mfumo umekichoka Chama tawala hivyo umewekeza kuitengeneza Chadema iwe imara Ili watu waliopo Chadema watakapopewa madaraka na kukabidhiwa Nchi basi Nchi isonge. Tumeona mfumo ulivyomtumia JPM kutafuta watu wenye akili kutoka Chadema na kuwapa teuzi, tumeona mfumo ulivyopeleka wamama wenye akili 19 Bungeni wakalisaidie taifa baada ya kuona hakuna mbunge wakutoa hoja aliyepelekwa Bungeni na CCM, tuone mfumo ulivyowanunua akina badhiru wakairarue CCM nk
Nasema hivi Kwa sababu ni dhairi kwamba watu wanaofikiri sawasawa nchini wapo Chadema na ukitaka upate watu wa kukusaidia lazima ukawanue Chadema uwakumbatie huku ukujua kabisa kwamba moyoni mwao ni wanachadema na si wana CCM.
Naamini kabisa kwamba CCM wanajua akina halima ni wahanga waliotetea uhai wao baada ya kuona madhila waliyopata wapinzani webgine. Tuliona walivyofikishwa kwenda kuapa na eneo walipokaa wakaapa utabaini kabisa walikuwa mateka. Hakuna anayejua walipewa madharti Gani wakati wanatekwa na kupelekwa kwa Ndugai. Waliapishwa sehemu ambayo haijawahi kutumika kuapisha wabunge katika uhai wa nchi hii. Lakini pia kati yao akaapishwa hata aliyetolewa mahabusu you can imagine walikuwa wana Hali gani na walikuwa ni watu muhimu kiasi gani katika kulitetea bunge lisipitishe mambo ya hovyo. Let assume mfumo umetumia plan B kutafuta viongozi nje ya plan A ambayo imefeli.
Tukumbuke mfumo Siku zote unakuaga na wivu uliojichimbia chini ambao nivigumu kuonekana kwa macho. Tukumbuke mfumo una watu wa kila kariba. Unaweza ukadhani unaongozi kumbe unaongozwa. Unajiweka busy kupngoza watu wanakaa busy kukuongoza
NCCR ilisambaratishwa bila viongozi kupitia magumu ya Chadema.
ACT inajijenga kwa kujimomonyoa kwasababu Toka mwanzo ilianzishwa kupambana na Chama alichotoka mwasisi wake na siyo kupambana mfumo kwa lengo la kushika dola.
Chadema imepoteza makatibu wakuu wawili Hawa ndio walikuwa waandaaji wa kila kitu kwenye chama wote leo wapo CCM. Tuliamini wakienda huko wataenda na Siri za chama kumbe chama hakina Siri kubwa zaidi ya kusimama na wananchi. Hii NDIYO Siri pekee ya Chadema na inaimarika kwasababu pamoja na kuwa na Watu wenye njaa Lakini wapo wachache wasiojali ukubwa wa njaa.
Leo hii kutokana na ukubwa wa Chadema wapo watu waliamini Chadema ni lisu wakaangaika naye lakini akiwa kitandani na nje ya Nchi chama kiliendelea.
Wapo walioamini chadema ni Mbowe, wakamweka ndani mwaka sasa lakini chadema Bado kipo imara. Maana yake ni kwamba ; lipo tatizo la watafiti nchini.
Ninachokiona Mimi ni kwamba, mfumo umekichoka Chama tawala hivyo umewekeza kuitengeneza Chadema iwe imara Ili watu waliopo Chadema watakapopewa madaraka na kukabidhiwa Nchi basi Nchi isonge. Tumeona mfumo ulivyomtumia JPM kutafuta watu wenye akili kutoka Chadema na kuwapa teuzi, tumeona mfumo ulivyopeleka wamama wenye akili 19 Bungeni wakalisaidie taifa baada ya kuona hakuna mbunge wakutoa hoja aliyepelekwa Bungeni na CCM, tuone mfumo ulivyowanunua akina badhiru wakairarue CCM nk
Nasema hivi Kwa sababu ni dhairi kwamba watu wanaofikiri sawasawa nchini wapo Chadema na ukitaka upate watu wa kukusaidia lazima ukawanue Chadema uwakumbatie huku ukujua kabisa kwamba moyoni mwao ni wanachadema na si wana CCM.
Naamini kabisa kwamba CCM wanajua akina halima ni wahanga waliotetea uhai wao baada ya kuona madhila waliyopata wapinzani webgine. Tuliona walivyofikishwa kwenda kuapa na eneo walipokaa wakaapa utabaini kabisa walikuwa mateka. Hakuna anayejua walipewa madharti Gani wakati wanatekwa na kupelekwa kwa Ndugai. Waliapishwa sehemu ambayo haijawahi kutumika kuapisha wabunge katika uhai wa nchi hii. Lakini pia kati yao akaapishwa hata aliyetolewa mahabusu you can imagine walikuwa wana Hali gani na walikuwa ni watu muhimu kiasi gani katika kulitetea bunge lisipitishe mambo ya hovyo. Let assume mfumo umetumia plan B kutafuta viongozi nje ya plan A ambayo imefeli.
Tukumbuke mfumo Siku zote unakuaga na wivu uliojichimbia chini ambao nivigumu kuonekana kwa macho. Tukumbuke mfumo una watu wa kila kariba. Unaweza ukadhani unaongozi kumbe unaongozwa. Unajiweka busy kupngoza watu wanakaa busy kukuongoza