Mwenyeto amekataa ofa ya Yanga

Mwenyeto amekataa ofa ya Yanga

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Coastal union na Mwanmyeto wamakataa offer waliyopewa na Yanga ili kumpata mchezaji huyo.

Wamesema bila mil 100 hatoki.Yanga wamesema mil 100 ni ngumu ila bado wanajitahidi kukaa chini.

Watani nendeni benki msiogope
 
Ni Uwendawazimu kwa timu yoyote kutoa milioni zaidi ya 40 kwa Mwamnyeto mchezaji ambaye anaitajika kujengwa na hana uzoefu wowote zaidi ya kushiriki mechi chache za kimataifa na tatu za kagame cup.Mwamnyeto bado ni mchezaji mchanga na hakuna timu kubwa yenye uhakika kwamba akijiunga nayo anaweza kumudu presha.

Ni bora yanga Kubaki na Dante ambaye wanaujua uwezo wake na anauzoefu mkubwa kuliko kulipa milioni 100 kwa mchezaji ambaye hujui Nin kitatokea akiwa kwenye presha kubwa pale Yanga.
 
ndiyo hivi hivi tunavyo ingia cha kike, alafu baadaye tunashikana uchawi, benchi la ufundi yanga mungu anaowaona!
 
Kitendo tu cha kuchezea timu ya Wananchi ni heshima kubwa! Dogo anatakiwa atafakari mara mbili mbili hiyo ofa. Tunamkaribisha sana ili akiongezee nguvu kikosi chetu pale nyuma.
Siku hakuna cha heshima lakini hata hivyo bado hajafika thamani hiyo. Kama vipi aende zake Mikia.
Akiwa Yanga atakuwa understudy wa Yondani. Baada ya mwaka, thamani yake inaweza kuongezeka.
 
Yanga madeni yanawaandama afu bado mnang,ang,ania kununua wachezaji msio na uwezo nao.
 
Nyeto hana thamani hiyo



"Not everything is for everybody"
 
Siku hakuna cha heshima lakini hata hivyo bado hajafika thamani hiyo. Kama vipi aende zake Mikia.
Akiwa Yanga atakuwa understudy wa Yondani. Baada ya mwaka, thamani yake inaweza kuongezeka.
Yondani huyu huyu mtoa assist golini kwake?
 
Back
Top Bottom