Labda kama hao mikia atawapunguzia bei. Ila kwa m100 hata wao hawatoi!Siku hakuna cha heshima lakini hata hivyo bado hajafika thamani hiyo. Kama vipi aende zake Mikia.
Akiwa Yanga atakuwa understudy wa Yondani. Baada ya mwaka, thamani yake inaweza kuongezeka.
Pale tulizingua sanaYanga tuna mihemko yule Ally Ally nani alimsajili...
Kachukue barakoa ya bure kwa Mo.Yanga madeni yanawaandama afu bado mnang,ang,ania kununua wachezaji msio na uwezo nao.
Hawa coast naona ni kama hawataki kumuuza huyu dogo koz hiyo bei na kiwango chake haviendani kwa kweli....Hahahaha, wachezaji wa kitanzania bana hy ndio bei yake, anastahili bei hy ?
Mnyero SC mna shida sanabora kusajiliwa Simba bure kuliko Yanga kwa 100m. lazima uangalie msakabali wa mshahara wake
Si mlikuwa mnamlipa fadhila za kuwafungia magoli ?Yaani mpaka leo najiuliza nani alitoa wazo la kimsajili yule boya
Sent using Jamii Forums mobile app
Anyway kwenye ligi yetu ukiondoa wale mabeki wakongwe beki gani anayemfikia kiwango Mwamnyeto ?Watanzania tumeharibiwa na magazeti mwamnyeto ni mchezaji wa kawaida ila kutokana na uhaba wa vipaji ndio anaonekana wa maana kwa pesa hizo unapata beki wawili au watatu wa maana hata Kapombe ambaye kamwacha kwa mbali kwa ubora hajapewa pesa anayodai mwamnyeto anadanganywa kwenda nje atapoteza miaka miwili kufundishwa soka ya kisasa labda aende vinchi uchwara
Mwamnyeto ataenda Simba Sports Club.Hawa coast naona ni kama hawataki kumuuza huyu dogo koz hiyo bei na kiwango chake haviendani kwa kweli....
Nitajie mchezaji mmoja mwenye kiwango chake kwenye ligi yetuKiuhalisia siyo mchezaji wa kiwango hicho cha fedha. Wako wengi mno wa kiwango chake.
Wasimbanie haya ndo yaliyomuangamiza CHANONGO alipotakiwa na Yanga watu wanaweka fedha kibao. Matokeo yake dogo njia imeziba yupo Mtibwa.
Heko baba Msuva, kwa kuridhia dogo akipige Yanga kwa usajili wa pesa kidogo lengo likiwa apate nafasi ya kukuza kipaji chake.
Mlipili.
Hebu kaulizie bei yake pale Simba ujue kama unaweza kumpata kirahisi?Mlipili.
Kipimo kizuri kwenye champion ligi sio kwamba ni mbaya ila bado anahitaji uzoefu na kuondoa makosa madogo madogoAnyway kwenye ligi yetu ukiondoa wale mabeki wakongwe beki gani anayemfikia kiwango Mwamnyeto ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miongoni mwa wachezaji waliomaliza mikataba na klabu, japo najua kuna watu waliomshikia masikio yake kwa lengo la kuvuna kitu toka kwake .Hebu kaulizie bei yake pale Simba ujue kama unaweza kumpata kirahisi?
Sent using Jamii Forums mobile app