MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wewe hupendi mshahara? Unaweza fanya kazi bila mshahara?Nikajua unawapongeza kwa ufanisi mzuri pamoja na ubunifu mpya waliokuja nao kwenye utoaji wa huduma zao, kumbe unawapongeza kwa mishaara wanayowalipa??
Ila wabongo kwa kupenda mishaara kuliko kazi hamjambo.