Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

Endelea mkuu kupenda kazi. Lakini huwezi kupenda kazi ukiwa na njaa, hujalipia ada watoto, mkeo/mwanao akiumwa huna uhakika wa matibabu yake, usafir asubuhi wagombania daladala au mwendokas masaa 2 upo stand. Then uwe wawaza kazi kwanza kuliko mshahara basi utakua vizuri.
Anaongea kufurahisha genge huyo, unafikiri kwanini kila mtu akiwaza ajira serikalini anawaza kwanza TRA na Mashirika mengine makubwa ya serikali? Its all about the misimbazis!
 
Kijana wa kitanzania akiajiriwa sehemu yoyote ile kitu Cha kwanza kinachomuijia akilin ni namna gani atatimiza malengo yake binafsi kwa haraka kupitia kazi hiyo na atafanya juu chini hili ajue kama Kuna mwanya wowote wa kujiingizia pato la ziada kinyume na utaratibu(ubadhirifu) nje na mshaara anaolipwa..... Na ikitokea amekosa loophole yoyote ya upigaji anajikuta ghafla anauchukia hiyo kazi.

Ni wachache sana ambao huwa wanafikiria kuleta ufanisi wao kwa 100%, wao vipaumbele vyao ni mishaara na upigaji.

Muda wa kazi wenyewe hawautumii ipasvyo, unakuta wakienda kunywa chai wanatumia masaa 2 na Bado wakiwa wanafanya kazi concentration hamna, muda mwingi simu ziko mkononi anaangalia nini kinatrend mjini,
Hayo huwezi kuyafanya ukiwa Private company. Labda uwe kwenye NGO's na Serikalini ndio kuna room ya uzembe wa aina hio
 
Hayo huwezi kuyafanya ukiwa Private company. Labda uwe kwenye NGO's na Serikalini ndio kuna room ya uzembe wa aina hio
Sawa KABISA mkuu, ila wabongo wanajulikana tu ni watu wa aina gani.... Hata huko private sector wataamgalia aina ya management iliyopo kama inaruhusu uzembe au lah kabla hawajaanza kufanya kazi kimazoea huku wakitongozana muda wa kazi.
 
Sawa KABISA mkuu, ila wabongo wanajulikana tu ni watu wa aina gani.... Hata huko private sector wataamgalia aina ya management iliyopo kama inaruhusu uzembe au lah kabla hawajaanza kufanya kazi kimazoea huku wakitongozana muda wa kazi.
Uko sahihi mno. Watanzania ni wavivu sana halafu wanapenda kupata mapato kwa shortcut na pia ngono.
 
Kampuni yeyote ikiwa na Management ya wazungu basi jua kuna maslahi mazuri kwa wafanyakazi ila kukiwa na hawa ngozi ya "KOTA" yaani watabana hadi watabana tena.
 
Uko sahihi mno. Watanzania ni wavivu sana halafu wanapenda kupata mapato kwa shortcut na pia ngono.
Huu ni ukweli ulio uchi, mbongo hata umlipe 10m kwa mwezi atafanya kazi kiuadilifu kwa muda tu... Ila itafika stage hiyo salary ataizoea na vipaumbele vyake binafsi anavi maximize na hapo ndio atakapogundua kwamba mshaara alionao hautoshi na hivyo itabidi atafute namna ya kujiongeza...

Nafikiri unamkumbuka yule jamaa wa TRA aliyekutwaga anamiliki nyumba 70 hapa dar na hela za kigeni amezihifadhi nyumbani kwake kipindi kile Magufuli ndio anaingia madarakani, jamaa naskiaga alikuwaga analipwa 45m kwa mwezi.
 
Huu ni ukweli ulio uchi, mbongo hata umlipe 10m kwa mwezi atafanya kazi kiuadilifu kwa muda tu... Ila itafika stage hiyo salary ataizoea na vipaumbele vyake binafsi anavi maximize na hapo ndio atakapogundua kwamba mshaara alionao hautoshi na hivyo itabidi atafute namna ya kujiongeza...

Nafikiri unamkumbuka yule jamaa wa TRA aliyekutwaga anamiliki nyumba 70 hapa dar na hela za kigeni amezihifadhi nyumbani kwake kipindi kile Magufuli ndio anaingia madarakani, jamaa naskiaga alikuwaga analipwa 45m kwa mwezi.
Hivi yule Mturuki aliekamatwa amepiga pesa za Sgr anatoroka nazo Airport alikua Mbongo?.

Hivi wabadhirifu wapo Bongo tu?.
 
Uko sahihi mno. Watanzania ni wavivu sana halafu wanapenda kupata mapato kwa shortcut na pia ngono.
Niwatu gani ambao sio wavivu na hawapendi kupata mapato kwa kutumia shortcut?. Na niwatu wepi ambao hawapendi ngono?.

Napia niwatu wapi ambao wanasifika kwa unyonyaji?. Kulipa watu pesa kidogo bila kuzingatia uzito wa kazi zao?.
 
Hivi yule Mturuki aliekamatwa amepiga pesa za Sgr anatoroka nazo Airport alikua Mbongo?.

Hivi wabadhirifu wapo Bongo tu?.
Kwa vile mtoto wa jirani yako huwa ana tabia ya kujikojelea kitandani Kila siku usiku, basi haiukupi sababu ya wewe kutokumsema mtoto wako siku ukiona ameanza na yeye kujikojolea kitandani...!!

So kwamba unataka tusiongelee kasumba iliyokomaa kwa wabongo wengi ya kuendekeza wizi, ufisadi,rushwa, ubadhirifu,uchakachuaji eti kwa sababu tu Kuna raia ambaye si mbongo na yeye amewahi kukamatwa akifanya makosa yanayofanana na hayo sio???

Unashangaza sana jamaa
 
Kwa vile mtoto wa jirani yako huwa ana tabia ya kujikojelea kitandani Kila siku usiku, basi haiukupi sababu ya wewe kutokumsema mtoto wako siku ukiona ameanza na yeye kujikojolea kitandani...!!

So kwamba unataka tusiongelee kasumba iliyokomaa kwa wabongo wengi ya kuendekeza wizi, ufisadi,rushwa, ubadhirifu,uchakachuaji eti kwa sababu tu Kuna raia ambaye si mbongo na yeye amewahi kukamatwa akifanya makosa yanayofanana na hayo sio???

Unashangaza sana jamaa
Nimekuuambia useme niwatu gani ambao sio wabadhirifu waanza kuzunguka zunguka. Maana nachofahamu Mimi hakuna jamii inayosa waadilifu na wabadhirifu. Sasa wewe umekomaa na wabongo wavivu, wabongo wezi, wabongo wazee wa shortcut. Niambie wewe watu gani ambao hayo unayosema hawana
 
Nimekuuambia useme niwatu gani ambao sio wabadhirifu waanza kuzunguka zunguka. Maana nachofahamu Mimi hakuna jamii inayosa waadilifu na wabadhirifu. Sasa wewe umekomaa na wabongo wavivu, wabongo wezi, wabongo wazee wa shortcut. Niambie wewe watu gani ambao hayo unayosema hawana
Na Mimi nimekuuliza swali hapo rahisi tu ila hutaki kulijibu kwa makusudi...

Wewe nyumbani kwenu akitokea ndugu yako mlevi, ambaye anakunywa pombe mpaka anafikia hatu ya kujikojelea na kujinyea kabisa... Je, utaacha kumsema na kumkemea eti kwa vile yeye sio mtu wa kwanza kulewa mpaka kufikia hatua ya kujikojolea na kujinyea?

Yaani unataka tuache kekemea na kuwasema wezi eti kisa Kila Jamii Ina watu wa aina hiyo?? Akili za wapi???

Watu kama wewe ni toxic sana Kwenye Jamii yetu
 
Back
Top Bottom