Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Chadema walisema amekufa watakula raha badala yake wao ndiyo wanaliwa raha gerezani.
vipi kuhusu sabaya nae ni chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema walisema amekufa watakula raha badala yake wao ndiyo wanaliwa raha gerezani.
Wengi wanaomponda ni wale ndg au wazazi wao walikuwa majizi Magu ajawafyeka mf marehemu fisadi Wilson Kabwe alipotumbuliwa akafa sasa ndg zake hawawezi wakamfurahia Magu. R I P MAGUFULI.Wapo watakao mtukana na kumuita majina ya kila aina lakini wazalendo Wa hili taifa wanajua thamani yake TANZANIA, R.I.P MAGU.
TIME HEALS ALL WOUNDS
Kwenye kaz ya MUNGU hakunaga NEC!Uncle Magu..ooh Uncle Magu.
Hivi kifo hakina kukata rufaa kweli wadau?
Sasa hivi mtaani hatuna hata matumaini ya kupata maendeleo. Wakati wa JPM tuliona maendeleo yanatusogelea Kila Kona. Sasa hivi tupo tu.
Mkuu Mungu hapendi ujinga... Acha!Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako,utaangaliwa tu pengine uambiwe neda kule na huku.
Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani,huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda,migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu,jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana,wanalindana ,wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.
yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.
Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Atakumbukwa daima kwa kweliAnaekatisha mambo ya madili ya chapchap, kwa manufaa ya wachache ataitwa shetani, JPM pumzika kwa amani utakumbukwa daima.
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako,utaangaliwa tu pengine uambiwe neda kule na huku.
Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani,huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda,migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu,jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana,wanalindana ,wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.
yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.
Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Ungelikuwa na maarifa japo kiduchu walahu kama mbegu ya mchicha ungefanya makubwa kulihokoa taifa hili!Viongozi aina ya Magufuli ni nadra kupatikana.Viongozi wazalendo,wachapakazi,wapinga rushwa na wenye uweledi wa hali ya juu katika utendaji ni almasi ambayo ni nadra kupatikana mchangani.Itachukua muda sana kupata kiongozi aina ya Magufuli.Lakini ipo siku atapatikana.
Yule Mzee ibilisi Inafaa Kaburi lake liteketezwe Kwa Moto ama Lipigwe Bomu lilipuke Completely asije akarudi tenaYaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako,utaangaliwa tu pengine uambiwe neda kule na huku.
Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani,huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda,migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu,jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana,wanalindana ,wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.
yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.
Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Mpinga rushwa anaejenga uwanja wa ndege kijijini kwao Kwa kampuni yake?Viongozi aina ya Magufuli ni nadra kupatikana.Viongozi wazalendo,wachapakazi,wapinga rushwa na wenye uweledi wa hali ya juu katika utendaji ni almasi ambayo ni nadra kupatikana mchangani.Itachukua muda sana kupata kiongozi aina ya Magufuli.Lakini ipo siku atapatikana.
Ungekuwa na maarifa japo kidogo ungeweza kuandika kwa ufasahaUngelikuwa na maarifa japo kiduchu walahu kama mbegu ya mchicha ungefanya makubwa kulihokoa taifa hili!
Kijiji chao kipo Msumbiji?Mpinga rushwa anaejenga uwanja wa ndege kijijini kwao Kwa kampuni yake?
Jinga kabisa
UlaaniweYaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako,utaangaliwa tu pengine uambiwe neda kule na huku.
Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani,huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda,migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu,jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana,wanalindana ,wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.
yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.
Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Fedha za ujenzi zilipitushwa na Bunge gani? Kampuni yake ilipitia mchakato gani kupata iyo tenda?Kijiji chao kipo Msumbiji?
Pumbavu kabisa
Basi hauko sawa kabisa . Kama alikua shetani wewe nani? Jifunze kuzungumza vizuri acha chuki bwana toa hoja na hata kama alikosea atarudi arekebishe makosa never jirekebishe wewe na kauli zako mbovuYule mzee kama Mungu alitupa laana.. Magu alikuwa zaidi ya shetani