Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine

Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine

Mimi ningekubaliana nawe kuhusu Magufuli juu ya yale uliyoyataja huko juu na kumlilia.

Lakini ninakuona wewe kuwa mtu wa hovyo kabisa unapojaribu kuvungavunga ushetani mkubwa aliokuwa nao Magufuli. Mimi ninakuona wewe na Magufuli wako kama mashetani tu!

Hamlisaidii kwa chochote taifa hili kwa kunyanyasa wananchi na kuwanyima haki. Hakuna uzuri wowote unaotokana na ukichaa huo.

Kuhusu hawa wanaotuuzia HAKI zetu, hata wao hawana tofauti yoyote na huyo unayemlilia hapa.
Ni chuki ndo inakuongoza kusema unachokisema hamna jingine unabisha?
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako,utaangaliwa tu pengine uambiwe neda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Wacha upumbavu wako mwamba! Yaani unaombea nchi ipate shetwan tena? Hatutaki kwenda huko tena!
 
Jipigepige kifuani huku ukisema moyoni hakika mimi ni mchawi na ninastahili kuwa kuzimu kule alipo shetani mwenzangu kutoka Chatou.
Bila shaka wewe ndo unastahili kufanya hivyo kila la heri
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako,utaangaliwa tu pengine uambiwe neda kule na huku.
Hakuna uchaguzi mkuu, bila katiba mpya, pia jifunze kuhusu' autocratic leadership'
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.
Hili ombi peleka kwa mkuu wa motoni atalitimiza mapema iwezekanavyo... Wa Mungu sio watu wa dizaini ile.
 
Uncle Magu..ooh Uncle Magu.

Hivi kifo hakina kukata rufaa kweli wadau?

Sasa hivi mtaani hatuna hata matumaini ya kupata maendeleo. Wakati wa JPM tuliona maendeleo yanatusogelea Kila Kona. Sasa hivi tupo tu.
Sahizi ni mwendo wa kusikia mahela tu yametolewa ila huoni hata fundi akihangika na ujenzi
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata
Ulaniwe wewe na swala zako walasikuitaji kusoma chini kichwa tu kimetosha
 
Rais asiyejali h

Kiongozi asiyejali hata madaraja ya watumishi ndiye unayemtamani

Walimu walimuibia kura sana bila kificho kwa kufikiri atawapandisha madaraja lakini zero mpaka kuondoka.

Wanaomtamani ni ninyi mliokuwa mkila mkisaza mik**du ikija*mba 24/7
Mirija yenu imekatwa mnalia 24/7
Mnataka kupandishwa madaraja kwa kuwa mna tamaa hamridhiki na mnachokipata na hamfanyi kazi kwa weledi kongole kwenu mtasubiri saaana tu!
 
Kuna watu wana miaka miwili wanasubiria vitambulisho vya NIDA, mambo hayajawahi kubadilika sana kama unavyofikiri. Wewe itakuwa mwaka huu ndio umeomba passport.
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.
 
Shida ya watanzania tumezoea kuumizana, akitokea mtu wa kusimamia vikali tabia za wenye nafasi kuumiza wenye shida zao na kuhimiza uzalendo lazma aonekane mchawi!

Kundi la wanufaika na wanaotumia vyeo vyao kujipatia rushwa na kurefusha michakato ya mambo kama huduma za kijamii ndio hao ambao wakibinywa kende wanaishia kumtusi kiongozi mwenye calibre ya Magufuli na kumuona mchawi tu ila wao kutengeneza mazingira ya rushwa wanaona wako na haki na ni sahihi sana kuumiza wanyonge.

Imagine juzi kupokea maiti ya jirani yetu pale Airport iliotoka US kulikuwa na michakato ambayo hata haieleweki na kuzubaishana eti passport ya marehemu ikasainiwe sijui immigration mara blaah blaah yani mlolongo wote walipopewa chambi chambi ishu ikaisha dkk30 tu!
 
Naunga mkono hoja....

Tena ikiwezekana awe gangwe, katili na mnyama zaidi ya JPM dhidi ya hizi pumbavu..

Hili linchi kuna watu wanachukulia masikhara na kuleta theory, hili linchi halitaki theory za utawala wala democracy, hili linchi ili liende linahitaji ubabe zaidi ya ule wa marehemu..
Nchi inahitaji wababe wenye misimamo wasiotishwa na mabeberu wanaojali watu wao na kuonyesha cha moto wanafiki na wasaliti wanaojificha kwenye haki na demokrasia
 
Akipatikana mchukue uende nae kwako akakufurahishe sisi wengine tuko na mama tunaenjoy kuliko Hugo kipenzi chako
Mama lazma mumfurahie sababu ya per diem mnazojiandikia daily! Misafari na seminar za upigaji hapo lazma mama ashabikiwe tu!

Na uzuri sio mfuatiliaji wa weledi wa wafanyakazi!
 
Africa kama sio dunia imepoteza mtu wa shoka Magufuli atabaki kuwa Magufuli wala si Mbowe wala Lissu wenye uzalendo kwa watu wake na nchi yake!
Why Mbowe na Lissu? Ndio wanaotishia legacy? Kwa nini usimlinganishe na Samia au Zitto au Membe wanaoifuta legacy kwa vitendo?
 
Mama lazma mumfurahie sababu ya per diem mnazojiandikia daily! Misafari na seminar za upigaji hapo lazma mama ashabikiwe tu!

Na uzuri sio mfuatiliaji wa weledi wa wafanyakazi!
Wala hujakosea mwamba yanajidhihirisha wazi na yanaonekana asiyeona ana mashaka na macho yake
 
Back
Top Bottom