Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine

Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine

bahati hua haijirudii na bado muda unakuja tutajua tu kua tulimpoteza Rais
Kwanini kwenye mambo ya hovyo mnapenda kutumia wingi? Yaani jiwe unamwona Rais bora? Ndiyo maana hata Gwajiboy ana waumini.
 
Uncle Magu..ooh Uncle Magu.

Hivi kifo hakina kukata rufaa kweli wadau?

Sasa hivi mtaani hatuna hata matumaini ya kupata maendeleo. Wakati wa JPM tuliona maendeleo yanatusogelea Kila Kona. Sasa hivi tupo tu.
Kufa mfate
 
Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Ntakutukana bureee!! uone nimekosa adabu!!! kwanza alikuwa hataki msafiri!!! watumishi wa sirikali ndo kabisaaa!! sasa huyo mtu mnyama!! unaona sawa watu kutekwa halafu anapiga kimya?? Risasi alizo miminiwa mwenzako unaona sawa!! si ufe tu na wewe!!!... unasubiri nini.... naomba Jiwe aendelee kufa!
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.

Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.

yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.

Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.

Mutaongea na kupiga makelele yaco na maana lakinii ndio rais wenu, na kinachowaumiza zaidi ni MZANZIBARI/IMANI YAKE 👈🏽👈🏽👈🏽👈🏽👈🏽👈🏽👈🏽


Mungu ampe afya njema mamaetu.


Kingine mzee,,,Mitume wa Mwenyezi Mungu wameondoka na ndio Mitume haoo, sembuse ndugu yako magufuli!!!!
 
Ndio maana Wazalendo wa kweli wa nchi hii hatutaacha kumlilia Hayati Rais Magufuli ingawa tunaujua ukweli kuwa hawezi kurudi na tunalazimika kuishi na hawa tulionao sasa!
Dada acha kulialia hapa. Kwanini mnamchukia huyu mama??? Unataka kusema magu ni bora kuliko mama samia? Au kwa sababu ni muisilamu!!! Mbona wakristo wengi tu wanampenda na kumkubari!!!!


Mitume wa Mwenyezi Mungu wameondoka na ndio Mitume haoo,,sembuse ndugu yako magu!!!!


Wafuasi wa magu mkoje lakini!!!!!
 
Acha uongo huo ulishindwa kumuona hata boss wao KILA boss ana boss wake Ina maana wote hao wameshindwa kukusaidia ,kama mabosi nao walishindwa ulishindwa kwenda hata kwenye vyombo vingine vinavyodhibiti vyombo vya serikali kama ukutendewa haki na idara yeyeto.
Ukitimiza vigezo hio laki tano toa tu wape Mungu atakubariki unazo nyingi za kutoa.
 
Ndio maana Wazalendo wa kweli wa nchi hii hatutaacha kumlilia Hayati Rais Magufuli ingawa tunaujua ukweli kuwa hawezi kurudi na tunalazimika kuishi na hawa tulionao sasa!
Kama ulikuwa mnufaika na ukachezea bahati haiji mara mbili,jiwe is gone no moore
 
Ila ni laana kuwa na mtu kama jpm, tuombe Mungu kwanza ccm itoke halafu tupate rais mpya nje ya ccm.
😀 😀 Huko ndio tutapotea kabisa, hayo magaidi utayapeleka wapi. Heri CCM mara 100,kuliko magaidi wakala wa mabeberu sampuli za Ubelgiji.
 
Dada acha kulialia hapa. Kwanini mnamchukia huyu mama??? Unataka kusema magu ni bora kuliko mama samia? Au kwa sababu ni muisilamu!!! Mbona wakristo wengi tu wanampenda na kumkubari!!!!


Mitume wa Mwenyezi Mungu wameondoka na ndio Mitume haoo,,sembuse ndugu yako magu!!!!


Wafuasi wa magu mkoje lakini!!!!!
Hayo ya Uislamu unayajua wewe. Halafu kama unafikiri mimi ni mdada, mtume mkeo aje anitembelee uone kama atakubali kurudi kwako!
 
Mama lazma mumfurahie sababu ya per diem mnazojiandikia daily! Misafari na seminar za upigaji hapo lazma mama ashabikiwe tu!

Na uzuri sio mfuatiliaji wa weledi wa wafanyakazi!
Profesa bodaboda alisema "Bora mtu mjinga kuliko mjinga katili!!! Bora hata mzembe kuliko mwizi mbaguzi"

Profesa Toyo akaongeza "bora nusu pakacha.... bora mvivu kuliko muuaji"
 
Back
Top Bottom