miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Mbona haongeii...
Mbona hachekiiii[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mbona hachekiiii[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini kwenye mambo ya hovyo mnapenda kutumia wingi? Yaani jiwe unamwona Rais bora? Ndiyo maana hata Gwajiboy ana waumini.bahati hua haijirudii na bado muda unakuja tutajua tu kua tulimpoteza Rais
Kufa mfateUncle Magu..ooh Uncle Magu.
Hivi kifo hakina kukata rufaa kweli wadau?
Sasa hivi mtaani hatuna hata matumaini ya kupata maendeleo. Wakati wa JPM tuliona maendeleo yanatusogelea Kila Kona. Sasa hivi tupo tu.
Ulitaka aitweje? Hata hilo kapendelewa, kwangu mimi ni zaidi ya hilo jinaMavi....
Kwa nini unamuita Jpm shetani?
Ntakutukana bureee!! uone nimekosa adabu!!! kwanza alikuwa hataki msafiri!!! watumishi wa sirikali ndo kabisaaa!! sasa huyo mtu mnyama!! unaona sawa watu kutekwa halafu anapiga kimya?? Risasi alizo miminiwa mwenzako unaona sawa!! si ufe tu na wewe!!!... unasubiri nini.... naomba Jiwe aendelee kufa!Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
wewe Unakusudia tukutukane! lkn hatukutukani ng'ooo! u -Rais kapiga deal!Anaekatisha mambo ya madili ya chapchap, kwa manufaa ya wachache ataitwa shetani, JPM pumzika kwa amani utakumbukwa daima.
Watu wasio na pesa au akili timamu ndiyo wanaangaika na Jiwe, yaani mimi na pesa zangu nijiite mnyongeNaunga mkono hoja, bila shaka 2025 tutampata Magufuli mwingine. Watu wengi hasa wa kipato cha chini wananung’uka sana juu ya awamu hii ya sita.
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.
Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.
Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.
Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.
yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.
Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Dada acha kulialia hapa. Kwanini mnamchukia huyu mama??? Unataka kusema magu ni bora kuliko mama samia? Au kwa sababu ni muisilamu!!! Mbona wakristo wengi tu wanampenda na kumkubari!!!!Ndio maana Wazalendo wa kweli wa nchi hii hatutaacha kumlilia Hayati Rais Magufuli ingawa tunaujua ukweli kuwa hawezi kurudi na tunalazimika kuishi na hawa tulionao sasa!
Kama ulikuwa mnufaika na ukachezea bahati haiji mara mbili,jiwe is gone no mooreNdio maana Wazalendo wa kweli wa nchi hii hatutaacha kumlilia Hayati Rais Magufuli ingawa tunaujua ukweli kuwa hawezi kurudi na tunalazimika kuishi na hawa tulionao sasa!
😀 😀 Huko ndio tutapotea kabisa, hayo magaidi utayapeleka wapi. Heri CCM mara 100,kuliko magaidi wakala wa mabeberu sampuli za Ubelgiji.Ila ni laana kuwa na mtu kama jpm, tuombe Mungu kwanza ccm itoke halafu tupate rais mpya nje ya ccm.
Hayo ya Uislamu unayajua wewe. Halafu kama unafikiri mimi ni mdada, mtume mkeo aje anitembelee uone kama atakubali kurudi kwako!Dada acha kulialia hapa. Kwanini mnamchukia huyu mama??? Unataka kusema magu ni bora kuliko mama samia? Au kwa sababu ni muisilamu!!! Mbona wakristo wengi tu wanampenda na kumkubari!!!!
Mitume wa Mwenyezi Mungu wameondoka na ndio Mitume haoo,,sembuse ndugu yako magu!!!!
Wafuasi wa magu mkoje lakini!!!!!
Everybody will go fella! About opportunity, do you think I'm Kapuku!?Kama ulikuwa mnufaika na ukachezea bahati haiji mara mbili,jiwe is gone no moore
Pole wallahUncle Magu..ooh Uncle Magu.
Hivi kifo hakina kukata rufaa kweli wadau?
Sasa hivi mtaani hatuna hata matumaini ya kupata maendeleo. Wakati wa JPM tuliona maendeleo yanatusogelea Kila Kona. Sasa hivi tupo tu.
Profesa bodaboda alisema "Bora mtu mjinga kuliko mjinga katili!!! Bora hata mzembe kuliko mwizi mbaguzi"Mama lazma mumfurahie sababu ya per diem mnazojiandikia daily! Misafari na seminar za upigaji hapo lazma mama ashabikiwe tu!
Na uzuri sio mfuatiliaji wa weledi wa wafanyakazi!