Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha kushangaza at mimi vimenifuraisha atii ahahaha
Tafadhali mkuu mimi sikujui ulivyo.Hapana, sifatilii hayo mambo mkuu. Amini ilo. Nadhani unanijua nilivyo.
Enoch,Kina E na F mnaitwa huku...
Fadhili
Felix
Faustino
Erick ...vitombist hawa utajuta wewe
Elisha
Eliya
Emmanuel...wapole. Wazinzi wa chini kwa chini
Ahahahah hivi kweli hakuna ata mmoja?Unaweza kutuunganisha wanaume 50. Tuchangie hizo sifa na bado tusizifikie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah akitokea anayekidhi aiseeee itabidi nimlete mumuone jinsi vigezo vilivyomfitKusema ule ukweli, hivo vigezo ilibidi vitumike wote tukiwa mbinguni[emoji3], ila hapa duniani mmh nimecheka eti ndevu za O, hadi blood group dah, ila kuna wanaofit watakujaa
Haaaa nitajitahidi nisisupp wala kucarry. Yani nisipopata hapa leo. Baaasi mie sianzishi uzi mwingine tena mana nitajua umu hawapo ahahahMtoa mada kumbuka usipopata mwenza hapa, hii tutaita ume-supp
Ukianzisha uzi mwingine hiyo itakuwa ume-carry
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yaani vigezo vyote nimepass kasoro hivyo viwili ambapo kwa asilimia ni = ((21-2)21)x100%Ahahahaha yani wewe umetimiza vigezo vyote ivyo mkuu?.
Enock hata kwa hela mtoto wangu simuitiEnoch,
Erasto, Ebenezer, Ezra
Ila mama uko very experienced na majina yenye E