kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
Habari wakuu,
Tupo tunalea mimba ina week 8 now, but tangu week ya 4 mwenza amekuwa akipata shida ya kutokwa vitone vya damu ukeni.
Inaweza chukua siku mbili isitoke lakini siku ya 3 ikatoka kitone kidogo sana kama mtu aliyegusisha pamba ya masikioni kwenye nguo ya ndani.
Tatizo lilipoanza tulienda hospital ikiwa ni week ya 5 dactari akapima akasema mimba ipo salama ila kuna threateaning factors za kupelekea abortion na kuna dawa alipewa atumie inaitwa salbutamol kama sijakosea.
Lakini shida bado ipo pale pale haipiti siku 2 kitone kinajitokeza na ni kidogo mno.
Msaada wenu wakuu mwenye kufaham lolote.
Tupo tunalea mimba ina week 8 now, but tangu week ya 4 mwenza amekuwa akipata shida ya kutokwa vitone vya damu ukeni.
Inaweza chukua siku mbili isitoke lakini siku ya 3 ikatoka kitone kidogo sana kama mtu aliyegusisha pamba ya masikioni kwenye nguo ya ndani.
Tatizo lilipoanza tulienda hospital ikiwa ni week ya 5 dactari akapima akasema mimba ipo salama ila kuna threateaning factors za kupelekea abortion na kuna dawa alipewa atumie inaitwa salbutamol kama sijakosea.
Lakini shida bado ipo pale pale haipiti siku 2 kitone kinajitokeza na ni kidogo mno.
Msaada wenu wakuu mwenye kufaham lolote.