Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Mkuu pole lakini jitahidi kuongeza utundu na ujuzi wako. Inawezekana anachoka na huduma hafifu kwenye huo mchezo manake wanaume wengi mkishaoa basi maandaliz kwa mke yanakua zero unataka ukishika sekunde tu uchomeke mkuyenge umwage. Jambo ambalo linawakera wanawake wengi sana.

Jitahidi pia kumtimizia mahitaji mengine na pia hata kumtoa out kwenye viwanja vipya mechi huchezwa vizuri sana
 
Jifunze mbinu thabiti za kumkojolesha huyo mke wako,
Mwanamke ukimchakata vyema ukamfikisha kileleni kamwe hawezi vunga linapokuja swala la kunyanduana, tena wao ndio huwa wanahitaji mara kwa mara

Kingine mhudumie vizuri mkeo(fweza=matunzo)
Vijana mnakariri vibaya, mwanamke akikosa furaha ys moyo mambo ya kukojoleshwa ni hadithi za abunuasi.

-Jifunzeni kumpa maneno mazuri mwanamke.

- Toa out nzuri mara moja moja.

- msikilize na jadilianeni mambo yenu pamoja.

- ukiwa na uwezo mpe anachohitaji.

Kukojolesha ni hatua ya mwisho kabisa wakati moyo wake umeridhia kupanua mapaja kwa ridhas na fura.
Evelyn Salt njoo ujazie mwalimu wangu
 
Vijana mnakariri vibaya, mwanamke akikosa furaha ys moyo mambo ya kukojoleshwa ni hadithi za abunuasi.

-Jifunzeni kumpa maneno mazuri mwanamke.

- Toa out nzuri mara moja moja.

- msikilize na jadilianeni mambo yenu pamoja.

- ukiwa na uwezo mpe anachohitaji.

Kukojolesha ni hatua ya mwisho kabisa wakati moyo wake umeridhia kupanua mapaja kwa ridhas na fura.
Evelyn Salt njoo ujazie mwalimu wangu
Umemaliza japo haya mambo practically hayapo...yapo kimaandishi tu😂😂😂
 
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.

Miezi kadhaa baada ya kuoana alipata ujauzito na tabia hii ndipo nilipoanza kuiona nikajua labda kwasababu ya ujauzito. Alipojifungua na kupumzika mambo ni yale yale, hatufanyi hadi nianze mimi na kuna wakati namuomba anasema hayuko vizuri siku hiyo inapita kavu.

Nimewahi kumuuliza kwanini hajisikii, hana jibu zaidi ya kujibaraguza tu na kuacha lipite. Mwanzo wa ndoa aliwahi kuanzisha kuomba game nadhani alikuwa anatimiza funzo la somo ila kwa sasa daah!... Yani nikikaa kimya mimi hata mwezi unaisha bila kufanya lolote.

Kuna wakati nahisi kama nambaka maana naomba omba kila wakati alafu mwenzangu hana muitikio. Hapa naandika uzi huu amejilaza mwenyewe hana habari wakati tangu jumapili niliomba mchezo akanambia yupo kwenye siku zake hadi leo hata hashtuki kwamba naweza kupata tamaa ya kuchepuka.

Najiuliza ndivyo alivyoumbwa, anachepuka, ana jini mahaba au anajichua? Maana kuna siku nilimuona kama anaweweseka kitandani niliponyanyuka akashtuka sana.

Naomba maoni yenu kiutuuzima bila kejeli tafadhali.
Huenda Kuna mwenzako
 
Hivi wewe kweli unaweza kosa hamu ya kuliwa na mume ambaye ametoa mahari kwenu na mkakubaliana kulala uchi pamoja mbele ya mashahidi?
Bro. Kula kiapo na hisia za mwili ni vitu viwili tofauti.
Mimi mwanaume ikiwa kuna vitu ambavyo vitajitokeza kati yetu na msababishi akawa mwanamke huwa napoteza hisia juu yake.

Mleta uzi hajaeleza mapungufu yake.

Huenda;
- demu hana matunzo amekakamaa kama mkimbizi wa Sudani..nyege zitoke wapi?

- huenda anavaa nguo marinda kama washirika wa kanisa la uwata...hili nalo.

- huenda aligundua mume ni kicheche hivyo hisia zake pia zitapote kwa mmewe
 
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.

Miezi kadhaa baada ya kuoana alipata ujauzito na tabia hii ndipo nilipoanza kuiona nikajua labda kwasababu ya ujauzito. Alipojifungua na kupumzika mambo ni yale yale, hatufanyi hadi nianze mimi na kuna wakati namuomba anasema hayuko vizuri siku hiyo inapita kavu.

Nimewahi kumuuliza kwanini hajisikii, hana jibu zaidi ya kujibaraguza tu na kuacha lipite. Mwanzo wa ndoa aliwahi kuanzisha kuomba game nadhani alikuwa anatimiza funzo la somo ila kwa sasa daah!... Yani nikikaa kimya mimi hata mwezi unaisha bila kufanya lolote.

Kuna wakati nahisi kama nambaka maana naomba omba kila wakati alafu mwenzangu hana muitikio. Hapa naandika uzi huu amejilaza mwenyewe hana habari wakati tangu jumapili niliomba mchezo akanambia yupo kwenye siku zake hadi leo hata hashtuki kwamba naweza kupata tamaa ya kuchepuka.

Najiuliza ndivyo alivyoumbwa, anachepuka, ana jini mahaba au anajichua? Maana kuna siku nilimuona kama anaweweseka kitandani niliponyanyuka akashtuka sana.

Naomba maoni yenu kiutuuzima bila kejeli tafadhali.
Iko hiviii, wewe sio wa kwanza kutembea nae, yaani yeye anayo gold standard ya sex, kupendwa, na kuthaminiwa ambayo wewe huna, hujamfikisha, yaani Kuna mtu anamfikiria zaidi kuliko wewe, humalizi nyege zake zote kama yule. Hiyo ni kwanza, pili inawezekana wakati wa ujauzito amepimwa akakutwa na ugonjwa Fulani wa kuambukizwa, tatu anakuhisi unatembea na wengine au amegundua unamdanganya au ulimdanganya
 
Iko hiviii, wewe sio wa kwanza kutembea nae, yaani yeye anayo gold standard ya sex, kupendwa, na kuthaminiwa ambayo wewe huna, hujamfikisha. Hiyo ni kwanza, pili inawezekana wakati wa ujauzito amepimwa akakutwa na ugonjwa Fulani wa kuambukizwa, tatu anakuhisi unatembea na wengine au amegundua unamdanganya au ulimdanganya
Hoja zako zinahukumu mno.
Hapa tunakisia lkn wewe umenyoosha kama vile unataarifa sahihi
 
Bro. Kula kiapo na hisia za mwili ni vitu viwili tofauti.
Mimi mwanaume ikiwa kuna vitu ambavyo vitajitokeza kati yetu na msababishi akawa mwanamke huwa napoteza hisia juu yake.

Mlets uzi hajaeleza mapungufu yake.

Huenda;
- demu hana matunzo amekakamaa kama mkimbizi wa Sudani..nyege zitoke wapi?

- huenda anavaa nguo marinda kama washirika wa kanisa la uwata...hili nalo.

- huenda aligundua mume ni kicheche hivyo hisia zake pia zitspote kwa mmewe
😂😂😂😂😂 mkuu hamna watu wajinga kama hao mademu wetu wakishaolewa na kuzaa. Hakuna cha kukosa matunzo wala nini wanakula wanashiba vyema tu.
 
Back
Top Bottom