Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Hii ni kwa wakubwa tu niliposema kuomba walikuwa wameshajua namaanisha nini. Kuomba si lazima useme kwa sauti
 
Kuna uwezekano akawa anajichua; jitahidi uwe unampa shoo ya uhakika, angalau ya dk 30; leo jioni jifanye umelewa, kama huwa unakunywa pombe, kunywa;na kabla ya kunywa hakikisha umepata chakula cha kukupa nguvu.
Usiombe penzi kwa mdomo, tumia vitendo tu.
 
ULIMI!!
Umenikumbusha nilimchapa kerebu kadhaa baadaye nilijitetea na alikubali kuachia gem tena baada ya muda mfupi.Nilitumia maneno na vitendo!
 
Nyie wanaume ambao hamtaki kuchepuka mna shida Sana Kwa kweli. Ungekuwa na mchepuko wala usingelalamika
 
Mkuu hyo utakayotumia kulipia logde, misosi, na kumpa mchepuko utakaye mtafta we mpe mkeo arudi kwenye hali yake ya mwanzo. Michepuko syo dili
 
Haya Mate si ndio wataalamu wamekataza yasitumike tena mkuu?
 
Aisee pole sana, Mimi mwenyewe napitia changamoto hiyo, wanawake wamekuwa wanatumia kutunyima papuchi kama sehemu ya kutuadhibu wanapopata hasira
 
Kweli kabisa hili
 
Kama kweli anajichua hii itanifanya niwaze zaidi maana kuna wakati napiga muda mrefu hadi ananiomba tupumzike na hakika maandalizi hufanyika kabla. Mitungi niliacha mkuu ila sio siri gambe lilikuwa linaongeza dakika kifuani 🤣
 
Be romantic, safisha kinywa, oga, nukia, fanya maozi, chati nae ukiwa kazini kimahaba mpapase na mbusu everytime unapokuwa nae,mhame kidogo safiri,then pima upepo
Upande huo sipo vibaya sana naweza sema nipo smart zaidi yake, nilioa mke wa kawaida sana. Labda niongeze mahaba maana hii hali ya kumchukulia wa kawaida inanifanya nisiwe romantic kwake sometime.
 
Hamna cha formula wala nini ndugu yangu. Kama wewe kuna formula ambayo inafanya kazi kwa mke wako, wewe shukuru Mungu na usidhani itafanya kazi kwa mke wangu pia.
Kaka ndoa haitaki mazoea, epuka mazoea na mkeo, kitabia Baki kama alivyokukuta na yeye abaki kama ulivyomkuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…