Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Itakuwa umem-disappoint kwenye mambo kadha wa kadha!

Itakuwa mmerogwa na mchepuko wako!

Au traumatic stress disorder inayomkabili.
 
Kama kweli anajichua hii itanifanya niwaze zaidi maana kuna wakati napiga muda mrefu hadi ananiomba tupumzike na hakika maandalizi hufanyika kabla. Mitungi niliacha mkuu ila sio siri gambe lilikuwa linaongeza dakika kifuani 🤣
Mtoe 'out' na mlale huko huko angalau kwa siku 2, mjadiliane changamoto zenu. Itaweza kusaidia
 
Mke sio mahari TU, kuwa ukishaambiwa huyo ni mke wako basi imetosha. Kumbuka kuwa hakuna mtu anaeweza kummiliki mtu kama property. Ili mtu umiliki na afanye unavyotaka wewe ufanye lazima ufanye yafuatayo.
1. Uwe na utimamu wa mwili na akili
2. Uwe sehemu yake (furaha na huzuni zake) na akuone hivyo.
3. Fanya mambo kwaajili yake hata kama kwako hayana faida Wala maana, na akuone unafanya hivyo
4. Usitafute haki ni ya nani kati yenu bali tafuta Suluhu ya tatizo lenu.
5.
 
pamoja na yote mliyoongea mnashindwa kujua kama mwanamke anaweza kukosa hamu na pengine kuipoteza kabisa baada ya kujifungua
Binafsi hii hali iliwahi nitokea lakini kwakuwa nina kauelewa kidogo nilijitahidi kuhandle situation na pia mwanaume nilimweleza hali halisi pia kawa najitahidi kula vyakula vizuri na kunywa maji mengi sana
baadae nkaweza kuwa vizuri japo sio kama mwanzo niliongeza utundu zaidi
 
Unajua mimi naamini ili tendo linoge, inatakiwa litokee automatically sio mpaka uombe au muweke mipango na kuingia gharama ndio mtu awe kwenye 'mood'..

Mfano mnapoanza mahusiano, hua hamna cha nini wala nini yani mkifika kitandani wote wawili mnakua tayari mpo kwenye mood iwe ni geto, lodge au popote na gemu inakua na ladha balaa.

Gemu ya aina hiyo utaipata tu kwa mpenzi mpya au kwa mchepuko. Kwa mke wa ndoa aisee ni nadra sana..
Nakubali
 
Sio
pamoja na yote mliyoongea mnashindwa kujua kama mwanamke anaweza kukosa hamu na pengine kuipoteza kabisa baada ya kujifungua
Binafsi hii hali iliwahi nitokea lakini kwakuwa nina kauelewa kidogo nilijitahidi kuhandle situation na pia mwanaume nilimweleza hali halisi pia kawa najitahidi kula vyakula vizuri na kunywa maji mengi sana
baadae nkaweza kuwa vizuri japo sio kama mwanzo niliongeza utundu zaidi
Sio kweli, hiyo itatokea TU Kama mama amepata maumivu ambao amebaki nayo hata baada ya kujifungua, maumivu yanaweza kuwa ya mwili au akili kutokana na kuchanika, uzazi pingamizi, stress au mismanagement ya mwanaume kwenye mchakato nzima wa ujauzito mpaka kujifungua mpaka malezi baada ya kujifungua. Vinginevyo, mama akishaanza kuona siiku zake tena na hamu lazima inarudi tena.
 
Sio

Sio kweli, hiyo itatokea TU Kama mama amepata maumivu ambao amebaki nayo hata baada ya kujifungua, maumivu yanaweza kuwa ya mwili au akili kutokana na kuchanika, uzazi pingamizi, stress au mismanagement ya mwanaume kwenye mchakato nzima wa ujauzito mpaka kujifungua mpaka malezi baada ya kujifungua. Vinginevyo, mama akishaanza kuona siiku zake tena na hamu lazima inarudi tena.
hiyo siyo kweli yako inamaanisha suala la kukosa hamu haliwezi kutoka ama unamaana gani?nimeeleza kutokana na situation yangu sijaeleza kutoka story za vijiweni
 
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.

Miezi kadhaa baada ya kuoana alipata ujauzito na tabia hii ndipo nilipoanza kuiona nikajua labda kwasababu ya ujauzito. Alipojifungua na kupumzika mambo ni yale yale, hatufanyi hadi nianze mimi na kuna wakati namuomba anasema hayuko vizuri siku hiyo inapita kavu.

Nimewahi kumuuliza kwanini hajisikii, hana jibu zaidi ya kujibaraguza tu na kuacha lipite. Mwanzo wa ndoa aliwahi kuanzisha kuomba game nadhani alikuwa anatimiza funzo la somo ila kwa sasa daah!... Yani nikikaa kimya mimi hata mwezi unaisha bila kufanya lolote.

Kuna wakati nahisi kama nambaka maana naomba omba kila wakati alafu mwenzangu hana muitikio. Hapa naandika uzi huu amejilaza mwenyewe hana habari wakati tangu jumapili niliomba mchezo akanambia yupo kwenye siku zake hadi leo hata hashtuki kwamba naweza kupata tamaa ya kuchepuka.

Najiuliza ndivyo alivyoumbwa, anachepuka, ana jini mahaba au anajichua? Maana kuna siku nilimuona kama anaweweseka kitandani niliponyanyuka akashtuka sana.

Naomba maoni yenu kiutuuzima bila kejeli tafadhali.
Mkuu
Ingia kwenue maombi kwa sababu kuna dalili kubwa mkeo amekuwa possessed na demonic marriage. Yanamtumia kwenye ulimwengu wa roho bila yeye kujua.

Sali sana kumrejesha
 
Hapa ndo Kuna shida, Tena shida kubwa sana yaani hujui kama mkeo ana bleed ama la!
Sijawahi sikia ndo leo.
Last week nilikuwa safari nimefika nyumbani Jumapili jioni sikujali uchovu wangu nikaomba mzigo ndio nikajua yupo kwenye siku zake. Hatahivyo siku zake zimevurugika sababu ya matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.
 
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.

Miezi kadhaa baada ya kuoana alipata ujauzito na tabia hii ndipo nilipoanza kuiona nikajua labda kwasababu ya ujauzito. Alipojifungua na kupumzika mambo ni yale yale, hatufanyi hadi nianze mimi na kuna wakati namuomba anasema hayuko vizuri siku hiyo inapita kavu.

Nimewahi kumuuliza kwanini hajisikii, hana jibu zaidi ya kujibaraguza tu na kuacha lipite. Mwanzo wa ndoa aliwahi kuanzisha kuomba game nadhani alikuwa anatimiza funzo la somo ila kwa sasa daah!... Yani nikikaa kimya mimi hata mwezi unaisha bila kufanya lolote.

Kuna wakati nahisi kama nambaka maana naomba omba kila wakati alafu mwenzangu hana muitikio. Hapa naandika uzi huu amejilaza mwenyewe hana habari wakati tangu jumapili niliomba mchezo akanambia yupo kwenye siku zake hadi leo hata hashtuki kwamba naweza kupata tamaa ya kuchepuka.

Najiuliza ndivyo alivyoumbwa, anachepuka, ana jini mahaba au anajichua? Maana kuna siku nilimuona kama anaweweseka kitandani niliponyanyuka akashtuka sana.

Naomba maoni yenu kiutuuzima bila kejeli tafadhali.
inawezekana halizishwi na show yako, ndio maana anaona kama unamsumbua, unakela na kumchafua tu.
jitahidi kupiga show ya ukweli mpaka aseme poooo.
na dalili 1 ya kuwa umemkuna kisawasana, ni usingizi,,,ahahahahaaaa!!! ukichomoa tu, lazima asinzie.
 
Back
Top Bottom