Mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji

Umewaacha wengi kapa kwa ssbabu wamezoea kutafuniwa kila kitu

Natunza andiko hili
 
Huyo Bashe kavuruga sana hali ya Chakula nchini.

Anyways Samia anamuamini ila anayoyafanya yanahatarisha usalama wa nchi.

Ukosefu wa Chakula ni moja wapo ya mambo yanayoweza Fanya amani ikatoweka.

Kumtawala mtu mwenye njaa sio kazi rahisi.
 
watu wengi ni wajinga sana .Sababu zenu za kisiasa mnaanza kuleta mtafaruku baina ya watu .

Ni kwamba kwa bongo haliwezi kutokea kama wale weny kingereza kingi.
 
Wazee wenzangu wanakumbuka wimbo mmoja wa mchakamchaka unaimbwa "la mgamboo likiliaa kunalo jambo linakujaa..lisemwalo kama halipoo lipo njiani linakujaa"...duhh nimekumbuka mbali sana.
 
Ungeandika tu direct ungepungukiwa nini.

Unaweza kua na hoja lakini uwasilishaji ukaifanya kua kioja
 
I mean, hili nalo nendeni mkalitizame...
 

Umeandika utoto gani hapa?
 
Unakaribia kuokota makopo Tumail El punguza speed.
Nchi iko salama chini ya Mama.
 
Tungekua na constitutional Kama ya hao jamaa huyu wakwetu sidhani Kama angeweza maskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…