Mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji

Deni bado. Ni himilivu
 
Ombea kheri taifa lako, Rais wako na raia wenzako. Acha hizi story zako kila wakati. Hazipendezi.[emoji120][emoji120][emoji120]
One Two. Microphone Test.
Alisema yametokea.
 
Vp wewe ndugu TumainiEl,

Umeshapokea msg ya kuingia mshahara wa May?
 
Unauza chakula cha familia kwa jirani
Mm nilidhani unaongelea jambo la maana kumbe ni hili??!

Kama unaumia sana nenda kalime chakula chako halafu usikiuze nje.

""Mazao ya wakulima siyo mali ya umma!!"" Asante Bashe
 
Mlipo soma hii thread hamkuelewa haya sibulini
Tetesi zinasema kwamba Wanakusadikika wanasubiri kwa hamu kuongezewa mishahara ila ukweli ni kwamba huenda, naomba msininukuu, huenda hilo lisiwepo kutokana na sababu siwezi ziandika hapa kutokana na bado hazijakuwa wazi katika tetesi hizi.
 
Mm nilidhani unaongelea jambo la maana kumbe ni hili??!

Kama unaumia sana nenda kalime chakula chako halafu usikiuze nje.

""Mazao ya wakulima siyo mali ya umma!!"" Asante Bashe
Hata miye
 
Ni kama kweli aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…