Mwenzenu na miaka miwili sijakutana kimwili, je kuna athari zozote zinaweza tokea?

Nimekuwa mjane for more than 7 years na sijatenda. Sioni ttz ila kuna saa unatamani c siri

Hivi wajane hawaruhusiwi kuwa na waume/wenza..hata baada ya eda!? Au umeamua mwenyewe?
 

kwa hiyo saikolojia,kumbukumbu, kupoteza hamu na upweke sio afya?

poor you!
 
Msaada wa kukutana kimwili au msaada gan dada?
 
Njia za kutafuta mapozeo siku hizi zimekuwa nyingi mno, wengine hujifanya bikra ili kuongeza thamani lakini ukitest zari unakutana na kihansi.
 
Last edited by a moderator:

hahahhahahahahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…