Unaishi wap? Mtaani kwenu vijana madomo zege? au haulipi usoni kama Mgongoni? nyoosha maelezo
Hamna madhara yoyote. Mungu alipomuumba binadamu hakumuumba kwa ajili ya kufanya ngono tu. Mwili wako ni hekalu la Mungu, unapaswa kumtukuza Mungu katika mwili wako. Hakuna madhara yoyote, hata kama ni lifetime, hakuna biological effects yoyote. Getting married is the best thing, if someone cant control him/her self lakini hakuna madhara yoyote. On the contrary your body becomes much active and stronger, if you dont participate in regular sexual activities. Wala usijali kabisa
Binadamu hataishi kwa ngono tu, bali kwa kila neno litokalo kwa Mungu.
Hahaa..jaribu kuonja
Sasa si kitaoza hicho au..
Kimeshaoza tayari...
Hakuna tatizo lolote, tena utazidi kupendeza na kufocus kwenye vitu vinavyokuletea maendeleo.
Hamna madhara yoyote. Mungu alipomuumba binadamu hakumuumba kwa ajili ya kufanya ngono tu. Mwili wako ni hekalu la Mungu, unapaswa kumtukuza Mungu katika mwili wako. Hakuna madhara yoyote, hata kama ni lifetime, hakuna biological effects yoyote. Getting married is the best thing, if someone cant control him/her self lakini hakuna madhara yoyote. On the contrary your body becomes much active and stronger, if you dont participate in regular sexual activities. Wala usijali kabisa
Binadamu hataishi kwa ngono tu, bali kwa kila neno litokalo kwa Mungu.