Mwenzenu nimeachwa kweli!

Mwenzenu nimeachwa kweli!

Kutokana na hali ngumu ya Maisha kwa sasa,usithubutu kumwambia mwanaume akuache,sababu ya mateso yote mjini na mitaani kwetu sisi wanaume ni mwanamke,bila mwanamke Wala tusingekuwa tunaamka asubuhi kwenda kwenye maaangaiko,
No woman no cry
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
Kama kakutumia na umesoma hiyo talaka tayar
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
Kama kakutumia na umesoma hiyo talaka tayar
 
Ndoa zenu Ni nyepesi nyepesi sna hvyo hvyo kuachna Ni nyepesnyepesu sna Sina imani na ndoa zenu muda wwote unachwa
 
Niliongea na mtu recently akanishauri kuwa a woman is the greatest person who benefits katika familia. Na ndo maana kuna dada mmoja aliandika humu kuwa mama ake alimwambia kama kwenye ndoa unakula vizuri basi tulia. Usipaparike at all. Vingine ni vya kupita.

Mwanamke ndie hufaidika. Watoto watasomeshwa vizuri, wewe utakula utalala..wale watoto wanapokuwa mwanamke ndo utafaidika. Mtoto hata siku moja hamsahau mama labda tu kama hajielewi. Lakini mtoto ataenda huko akipata 10, 20 anamrushia mama anywe supu. Na hata akiwa anaenda kusalimia nyumban atabeba kitenge cha mama. Ni wachache huwa wanabeba labda suti, koti, sandal za baba lakin mama ndie benefactor. Sasa mwanamke huoni kuwa ukiwa na hekima ni kwa faida yako na ya kizazi chako baadae. Tatizo tunaruhusu mioyo yetu itupeleke race sana. Kiasi kwamba hatureason hata kidogo. Hii love inatupelekesha sana.

I bet its high time kumpa mwanaume space..uhuru. simaanishi udismind.. namanisha mpe space. Kuna mtu aliandika kuwa kama unataka heshima acha watu huru, utaona wanakosa ile nguvu ya kuringa kwako. Stop seeking happiness in your spouse utakufa unajiona. Chochea furaha ndani yako mwenyewe. Kabla hujakutana nae uliipata wapi furaha??? Watu hupenda vitu adimu. Anapoona unaweza kuwa na furaha bila yeye..atakuheshimu. haya maneno aliandika mwanaume mmoja hukuhuku JF. Give your spouse some space. Acha kuwa snoopy unafatilia simu sijui, unataka jua yuko wapi na nani, wengine mmeajiri mabodaboda kuwafatilia waume zenu..smh. tumejipa kazi ya upelelezi wanawake.

Haisaidii..inatuharibu psychology zetu. At the end. Umechimbua mambo huwezi tena yafukia. Linabaki kovu milele. Karma haikosei address. Kama anafanya jambo baya kwako...yatakuja tu kuvumbuka. Hakuna mtu alie faithful kwa Mungu af Mungu akamuaibisha. The word of God says..hakuna mwenye haki atakayeachwa kamwe.. haki yako itakawia kidogo lakini utaipata. Real happiness inatoka kwa Mola pekee.

Naongea from experience
Naomba ujue Yani nimetokea kukupenda bure Tu,gud msg
 
Utachukuliwa na usafiri unaofuata maana kauli inaonesha imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara.
Eti kauli imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo yakuachana kimasihara.. hi sms umeambiwa ametumiwa na mumewake ikiwa na ujumbe wa kuachwa we unasema imetokea kwenye dini,,,

Tunasafari ndefu saaana! Kama taifa Lina watu wa aina hii alafu tutegemee maendeleo kweli!?

Ukute huyu nikijana 30-35 yrs ndo ana uwezo huu wakuchanganua mambo.

We fikiria huyu aletewe Yale maswali 100 yasensa atajibu kwa usahihi kwelii!?

Mzee kama we Ni mkuu wakaya umeharibu kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
Hiyo ni talaka tayar,huenda hajui Dini vizuri

Hata utani wake inaswihi kuwa Ni talaka kama walivyosema wenzangu.

Mwambie awe mkweli Tu akutamkie kuwa anakurejea basi ndoa inaendelea
 
Eti kauli imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo yakuachana kimasihara.. hi sms umeambiwa ametumiwa na mumewake ikiwa na ujumbe wa kuachwa we unasema imetokea kwenye dini,,,

Tunasafari ndefu saaana! Kama taifa Lina watu wa aina hii alafu tutegemee maendeleo kweli!?

Ukute huyu nikijana 30-35 yrs ndo ana uwezo huu wakuchanganua mambo.

We fikiria huyu aletewe Yale maswali 100 yasensa atajibu kwa usahihi kwelii!?

Mzee kama we Ni mkuu wakaya umeharibu kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili povu peleka pale kwako waoshee vyombo.
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
Nadhani umekuwa mpweke so umekumbuka kuna jukwaa la kupoteza mawazo.Nami nakushauri kimasihara njo kwangu tufarijiane nami nimeachwa.
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
Ww sepa mapema
 
Utachukuliwa na usafiri unaofuata maana kauli inaonesha imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara.
Kauli yako kuna kashifa ndani yake ila kipi bora kwako dini yangu inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara au dini yako ambayo kila leo Tanzania yetu tunasikia Mauaji kwenye ndoa sababu yake kubwa ni uko kukataa kuachana kimasihara wakati mapenzi kwa mmoja wapo yanakuwa hakuna kwa mwingine...
 
Kauli yako kuna kashifa ndani yake ila kipi bora kwako dini yangu inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara au dini yako ambayo kila leo Tanzania yetu tunasikia Mauaji kwenye ndoa sababu yake kubwa ni uko kukataa kuachana kimasihara wakati mapenzi kwa mmoja wapo yanakuwa hakuna kwa mwingine...
Hiyo ni kashfa au fact?
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na baba watoto, katika purukushani nikamwambia niache nitikise kibiriti, akanijibu subiri. Sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi baba Kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, siyo mke wangu".

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi Kisukari si Kisukari, Covid si Covid! Wanazuoni njoni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivyo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri maana kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha. Kuna mapenzi hapa?
mimi kwa vile nakupenda mke wang nsingekupa talaka 1 ila nngekupiga vibao alafu nngekupa talaka zote tatu
 
Back
Top Bottom