Mwenzenu nimeachwa kweli!

Kutokana na hali ngumu ya Maisha kwa sasa,usithubutu kumwambia mwanaume akuache,sababu ya mateso yote mjini na mitaani kwetu sisi wanaume ni mwanamke,bila mwanamke Wala tusingekuwa tunaamka asubuhi kwenda kwenye maaangaiko,
No woman no cry
 
Kama kakutumia na umesoma hiyo talaka tayar
 
Kama kakutumia na umesoma hiyo talaka tayar
 
Ndoa zenu Ni nyepesi nyepesi sna hvyo hvyo kuachna Ni nyepesnyepesu sna Sina imani na ndoa zenu muda wwote unachwa
 
Naomba ujue Yani nimetokea kukupenda bure Tu,gud msg
 
Utachukuliwa na usafiri unaofuata maana kauli inaonesha imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara.
Eti kauli imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo yakuachana kimasihara.. hi sms umeambiwa ametumiwa na mumewake ikiwa na ujumbe wa kuachwa we unasema imetokea kwenye dini,,,

Tunasafari ndefu saaana! Kama taifa Lina watu wa aina hii alafu tutegemee maendeleo kweli!?

Ukute huyu nikijana 30-35 yrs ndo ana uwezo huu wakuchanganua mambo.

We fikiria huyu aletewe Yale maswali 100 yasensa atajibu kwa usahihi kwelii!?

Mzee kama we Ni mkuu wakaya umeharibu kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni talaka tayar,huenda hajui Dini vizuri

Hata utani wake inaswihi kuwa Ni talaka kama walivyosema wenzangu.

Mwambie awe mkweli Tu akutamkie kuwa anakurejea basi ndoa inaendelea
 
Hili povu peleka pale kwako waoshee vyombo.
 
Nadhani umekuwa mpweke so umekumbuka kuna jukwaa la kupoteza mawazo.Nami nakushauri kimasihara njo kwangu tufarijiane nami nimeachwa.
 
Ww sepa mapema
 
Utachukuliwa na usafiri unaofuata maana kauli inaonesha imetokea kwenye dini inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara.
Kauli yako kuna kashifa ndani yake ila kipi bora kwako dini yangu inayoruhusu mambo ya kuachana kimasihara au dini yako ambayo kila leo Tanzania yetu tunasikia Mauaji kwenye ndoa sababu yake kubwa ni uko kukataa kuachana kimasihara wakati mapenzi kwa mmoja wapo yanakuwa hakuna kwa mwingine...
 
Hiyo ni kashfa au fact?
 
mimi kwa vile nakupenda mke wang nsingekupa talaka 1 ila nngekupiga vibao alafu nngekupa talaka zote tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…