Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sasa K unaenda nayeKuna mambo aliniudhi, nikakasirika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa K unaenda nayeKuna mambo aliniudhi, nikakasirika.
Mme wa walioachikaRais wa wanawake waliachika nipo hapa usichezee nafasi nipo kwa ajili yako
Naamini Kama hii ndio aina ya wanawake zetu Basi wanaokataa kuoa wapo sahihi....mke was aina hii kuchapiwa Ni rahisi kuliko punda kumpanda mbuziMwenyewe natamani iwe kweli, Ila tatizo kashaanza kunibembeleza anasema hajamaanisha....hajaniacha.
Ndo Naomba ushauri jamani hiyo si ni red card kabisa? Mwenyewe nataka kusepa mazima, kanichosha
Ndugu hujui nimevumilia mangapi.Naamini Kama hii ndio aina ya wanawake zetu Basi wanaokataa kuoa wapo sahihi....mke was aina hii kuchapiwa Ni rahisi kuliko punda kumpanda mbuzi
Ndio nitaenda nae.Sasa K unaenda naye
Watu wametikiswa na Tozo nawe unaleta ujinga?Habari za jioni!
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na Baba watoto, katika purukushani nikamwambia niachee nitikise kibiriti....akanijibu subiri, sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi Baba kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, sio mke wangu"
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi kisukari si kisukari, covid si covid....!
Wanazuoni njooni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri manake kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha, kuna mapenzi hapa?
🤣🤣 Ujinga gani wakati ye ndio ana makosa, hanipendi tu.Watu wametikiswa na Tozo nawe unaleta ujinga?
Imipita hiyoo
Mbona kulejuu km umechanganyoikiwa balaa...jisome tenaMwenyewe natamani iwe kweli, Ila tatizo kashaanza kunibembeleza anasema hajamaanisha....hajaniacha.
Ndo Naomba ushauri jamani hiyo si ni red card kabisa? Mwenyewe nataka kusepa mazima, kanichosha
Uongeze mwingine sasaNdio nitaenda nae.
Wala sijachanganyikiwa, mi Niko tayari, tatizo nawaza yakifika Kwa wazazi, always tunaonekana wanawake ndio tuna makosa....Kwa Hali ilivyo watamtetea na hivo kashaanza kulia lia.....hapa tayari amenikana anadai hajamaanisha, halafu Mimi ni mtu ambaye siwezi Ku argue, atanishinda!Mbona kulejuu km umechanganyoikiwa balaa...jisome tena
Ndo aniache ghafla hivi🤣🤣 sijapentaaaaaUnatishia kujamba wakati una tumbo la kuhara!?
😂 😂 😂 😂 😂
Basi una wazazi wa ajabuWala sijachanganyikiwa, mi Niko tayari, tatizo nawaza yakifika Kwa wazazi, always tunaonekana wanawake ndio tuna makosa....Kwa Hali ilivyo watamtetea na hivo kashaanza kulia lia.....hapa tayari amenikana anadai hajamaanisha, halafu Mimi ni mtu ambaye siwezi Ku argue, atanishinda!
Kwani amekula nje?🤣🤣 Ujinga gani wakati ye ndio ana makosa, hanipendi tu.
Taratibu shoga angu!Basi una wazazi wa ajabu
Chukua talaka yako ukaliwe kimasikhara na vijana wanakusubiria huko mtaani ukipona utakuwa mchepuko wa mume wa mtu.Ndugu hujui nimevumilia mangapi.
Sababu ya ugomvi ni ya kijinga, nikikisimulia unaweza kututandika vibao wote wawili, Ila ndo waswahili wanasema kamba hukatikia pabovu.....penzi lishaexpireKwani amekula nje?
Km huna makovu mwilini sioni Hoja kubwa ya kuachika...haifanani na kuwa mliwaji holela...subiri uonje joto la usingoNdugu hujui nimevumilia mangapi.