Mwenzenu nimeachwa kweli!

Mwenzenu nimeachwa kweli!

Na sasa ana appointment na mwingine!
1665409708521.png
 
Mwenyewe natamani iwe kweli, Ila tatizo kashaanza kunibembeleza anasema hajamaanisha....hajaniacha.
Ndo Naomba ushauri jamani hiyo si ni red card kabisa? Mwenyewe nataka kusepa mazima, kanichosha
Naamini Kama hii ndio aina ya wanawake zetu Basi wanaokataa kuoa wapo sahihi....mke was aina hii kuchapiwa Ni rahisi kuliko punda kumpanda mbuzi
 
Habari za jioni!

Jamani mwenzenu jana nimezinguana na Baba watoto, katika purukushani nikamwambia niachee nitikise kibiriti....akanijibu subiri, sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi Baba kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, sio mke wangu"

Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi kisukari si kisukari, covid si covid....!

Wanazuoni njooni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivo, kuna mapenzi hapo?

Nipeni ushauri manake kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha, kuna mapenzi hapa?
Watu wametikiswa na Tozo nawe unaleta ujinga?
Imipita hiyoo
 
Mbona kulejuu km umechanganyoikiwa balaa...jisome tena
Wala sijachanganyikiwa, mi Niko tayari, tatizo nawaza yakifika Kwa wazazi, always tunaonekana wanawake ndio tuna makosa....Kwa Hali ilivyo watamtetea na hivo kashaanza kulia lia.....hapa tayari amenikana anadai hajamaanisha, halafu Mimi ni mtu ambaye siwezi Ku argue, atanishinda!
 
Wala sijachanganyikiwa, mi Niko tayari, tatizo nawaza yakifika Kwa wazazi, always tunaonekana wanawake ndio tuna makosa....Kwa Hali ilivyo watamtetea na hivo kashaanza kulia lia.....hapa tayari amenikana anadai hajamaanisha, halafu Mimi ni mtu ambaye siwezi Ku argue, atanishinda!
Basi una wazazi wa ajabu
 
Back
Top Bottom