Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Unataka penzi jipya sasa mrembo?Sababu ya ugomvi ni ya kijinga, nikikisimulia unaweza kututandika vibao wote wawili, Ila ndo waswahili wanasema kamba hukatikia pabovu.....penzi lishaexpire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka penzi jipya sasa mrembo?Sababu ya ugomvi ni ya kijinga, nikikisimulia unaweza kututandika vibao wote wawili, Ila ndo waswahili wanasema kamba hukatikia pabovu.....penzi lishaexpire
Amefanyaje kosa la kiufundi atakuja kujutia muda si mrefu...Chukua talaka yako ukaliwe kimasikhara na vijana wanakusubiria huko mtaani ukipona utakuwa mchepuko wa mume wa mtu.
Ndiyo trend ya Sasa hiyo ya wanawake wanaotoka katika ndoa zao.
Unataka penzi jipya sasa mrembo?
Itahesabika kuwa ni talaka endapo kuwa imehakikishwa kweli hiyo sms imetoka na imeandikwa na mumeo na kama kweli amemaanisha kuwa ni talaka.
Matendo yote yanaswihi kwa nia.Ikiwa amemaanisha kuwa ni talaka basi ni talaka kweli. Unatakiwa ukae 'iddah na anauwezo wa kukurejea muda wowote ndani ya kipindi hicho cha iddah ama ikiwa amekuacha mpaka kipindi cha iddah kupita basi anatakiwa aje tena mfunge mkataba upya wa ndoa.
And Allah knows best
Amefanyaje kosa la kiufundi atakuja kujutia muda si mrefu...
Ukiamua cha kumwagilia unione nikupe shamba na pump kabisaSihitaji tena mapenzi, Bora nilime
Amche ALLAH na aache utani katika masuala ambayo hayana utani. Mtume Muhammad pbuh amesema kuwa kuna mambo matatu huwa umakini wake ni umakini na mzaha wake ni umakini, la kwanza ni "Ndoa, la pili ni Talaka na la tatu ni Kumrejea mke"Tayari anadai hajamaanisha.
Ingia mtaani upambane
Kama umeshamchoka na unataka kujivua kutoka kwenye ndoa unaweza kuomba khula,(kujivua kutoka katika ndoa) kwa kurejesha mahari aliyokupatia wakati wa kufunga ndoa au mkubaliane kuwa utamlipa kiasi gani iwe ni kikubwa au kidogo ili ujivue kutoka katika ndoa.Mwenyewe natamani iwe kweli, Ila tatizo kashaanza kunibembeleza anasema hajamaanisha....hajaniacha.
Ndo Naomba ushauri jamani hiyo si ni red card kabisa? Mwenyewe nataka kusepa mazima, kanichosha
Sijaelewa hata huenda uliyeandika hujaelewa unachokiandikaHabari za jioni!
Jamani mwenzenu jana nimezinguana na Baba watoto, katika purukushani nikamwambia niachee nitikise kibiriti....akanijibu subiri, sijakaa vizuri imeingia sms "Mimi Baba kidogoli nimekuacha Mamy K talaka 1, sio mke wangu"
Yani hapa nipo nipo sijui nilie, sijui nicheke, nahisi kisukari si kisukari, covid si covid....!
Wanazuoni njooni mnishauri hiyo si talaka tayari? Hivi kweli mkeo unayempenda akikwambia niache unamwambia hivo, kuna mapenzi hapo?
Nipeni ushauri manake kesho anarudi nyumbani najua ataanza kunibembeleza na kunambia hakuwa anamaanisha, kuna mapenzi hapa?
Sio kujuta wanaliaTatizo kuu la wanawake almost wote ni KAULI.
Huwa mnatoa kauli ngumu sana mkiwa na hasira.. Zikishawatoka hizo hasira ndo huwa mnabaki kujuta haswa
Hii mindset itakugharimu sana mbele ya Safari.,,,hio Fikra ndani yake huwa inakuwa imebeba Kiburi, Dharau, Ujeuri, Ujuaji na Upumbavu mwingi..Uzuri Nina kibarua maisha yatasonga, kuhusu kupambana mwenyewe hainipi shida, kuna kipindi alipata Kazi mkoa mwingine alinipotezea mazima, sikuyumba sikulalamika, akarudi akanikuta.