Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Ujaelewa mkuu,
Mimi ndo nilimfata kwake.

Afu uyu Dogo tumeanza mahusiano MDA Sana.

Kuna kipind nishaleta Uzi wake humu, fuatilia utaelewa vizur [emoji4]
 
Ni bora kama itakua chai, ila kama ni true story mkuu una dhambi sana kwa mkeo anavyokuheshimu na kukulelea watotowenu, why uchepuke bana
Ungekua Mwanaume ungeelewa kwann nafanya hivo.

Sema pia kwny nyuz zangu za nyuma khs uyu mchepuko mbona hili nishalifafanua Sana hili dada angu financial services [emoji4]
 
Ujaelewa mkuu,
Mimi ndo nilimfata kwake.

Afu uyu Dogo tumeanza mahusiano MDA Sana.

Kuna kipind nishaleta Uzi wake humu, fuatilia utaelewa vizur [emoji4]

Nilishasoma kisa chako mpk cha leo

Sikushangai wewe namshangaa uyo binti anavonyumbulika kwenye rombooo ambayo dada ake anakunwa nayo

Hivi hao ni ndugu wa tumbo moja kweli ama ni mtoto wa mamkubwa na mamdogo ama ni mabinamu
 
ila una heka heka😂😂 siku yako ilikua busy mno, na hela unayo maana unazitumia haswa..
 
Nilishasoma kisa chako mpk cha leo

Sikushangai wewe namshangaa uyo binti anavonyumbulika kwenye rombooo ambayo dada ake anakunwa nayo

Hivi hao ni ndugu wa tumbo moja kweli ama ni mtoto wa mamkubwa na mamdogo ama ni mabinamu
Tunaeza kuita ni mabinamu maana Dogo Ni mtoto wa shangazi ake na dada mtu[emoji4]
 
Hamna excuse ya kuhalalisha kuchepuka , wanaume nyie mnajiendekeza sana,kuvumiliana kwenye shida na raha iko wapi sasa?
Mkuu Kuna vitu natamani nikuelezee ila nikisema utasema nmelishwa limbwata.

Ila ndo uhalisia wenyewe huo, Aya mapenzi wee acha tu. Kuna viumbe waliumbwa mkuu[emoji4]
 
ila una heka heka[emoji23][emoji23] siku yako ilikua busy mno, na hela unayo maana unazitumia haswa..
Hamna Mbona, gharama kwake hazikua kubwa kivile unavodhani.
Ela nyingi tulitumia na Sana jamaa zangu pale bar.

Yeye labda alichoambulia kigauni chake Cha zawadi,posho yake ya nauli na sabuni na Ela ya kitasa TU.

Ila vingine vyote pale hotelini gharama zilikua collective, maana ata kwny kilaji yeye hakua mnywaji kivile[emoji4]
 
Nilishasoma kisa chako mpk cha leo

Sikushangai wewe namshangaa uyo binti anavonyumbulika kwenye rombooo ambayo dada ake anakunwa nayo

Huyu Hana wivu kabisa,
Tena tukikutana ananiuliza nna mda gan nmetoka kwa dada ake, Kuna siku tuligombana na dada mtu Akaniomba nikasex nae Ili ahakikishe Kama nmemsamehe dada ake.

Kipind Cha nyuma, wanaishi chumba na seble TU.
Nilikua na sex na dada ake chumban, yeye anabak seblen anaangalia tv. Sometimes anajiongeza anaenda kutembea tembea barabaran uko mpk tunapomaliza anarudi.
 

Moto wa milele usipo tubu
 
Tunaeza kuita ni mabinamu maana Dogo Ni mtoto wa shangazi ake na dada mtu[emoji4]

Ndo maana ana ujasiri huo wa kukula mboga ya binamu yake
Kwa mimi navompenda sister angu hata akigombezwa na wazee lazima nianze kulia mimi yaani kwa namna alivonilea nampenda mno mno sitamani hata aumie kwa ajilli yangu
Hata huyo shemeji yangu hatuna mazoea zaidi ya salamu [emoji3][emoji3]

Labda angekuwa wa tumbo moja angeogopa ila duuh watoto wa siku hizi hawana aibu
 

weeeee

Ngoja waje wakumwagie petroleum na dada ake we sema hana wivu

Bado ka mwanafunzi kana shidashida ndo maana hata akiwa na wivu atafanyaje

Ila mabinamu wabaya sana siwezi tambulisha binamu yangu kwa mupenzi wangu mafarafara sana hawana uchungu kabisa anaweza hata kukuwekea sumu ili abebe mume tu

Shindwa pepo hakuna shemeji wala shemela kwa binamu
 
Yani umeona kama ninavyoona
Halafu akiwa na binamu yake mkaaavuuuu
Binamu yangu alishawahi kunikandia kwa mai wangu
 
Yani umeona kama ninavyoona
Halafu akiwa na binamu yake mkaaavuuuu
Binamu yangu alishawahi kunikandia kwa mai wangu

Eeeh yaani acha kabisa binamu wabaya sanaa

kuna binamu yangu kaniharibia mahusiano mara mbili yaani unafki unafki na vihelehele umbea umbea mwingi

Bahati nzuri ni favorite cousin kwa mama shangazi shangazi ya nyokoo bila hivo hata salamu nisingempa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…