Pre GE2025 Mwezi mmoja baada ya uchaguzi, Mbowe yuko kimya lakini CHADEMA wanakanyagana

Pre GE2025 Mwezi mmoja baada ya uchaguzi, Mbowe yuko kimya lakini CHADEMA wanakanyagana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inasikitisha sana kuwa Mbowe anafuata njia ya Profesa Lipumba ya kukiua chama alichoshiriki kukijenge kwa jasho na damu. Hii barua ingeishia tu kwa Katibu Mkuu wa Chadema tungeweza kusema ilikuwa na ni njema ya kutaka kurekebishana lakini kwa kumshirikisha Msajili wa vyama ambaye ameoneka siku zote kuwa ni adui namba moja wa vyama vya upinzani ni dhahir shahir kuwa nia ya barua hiyo ni kuibomoa Chadema na pia ni dhahir kuna mkono wa TISS katika sakata hili.
Mbowe anahusikaje hapo sasa?? Kwani wanachama wengine kama Mchome hawana akili na haki ya kuhoji?

Hivi Tundu Lissu anaposema "No Reforms, No Elections", bado hamjatambua kuwa yeye ndiye adui namba 1 wa CHADEMA?

Hakika CHADEMA mumeingia choo cha kike, na hamtoki kwenye hicho choo hadi mgawane matofali na mbao
 
Mbowe anahusikaje hapo sasa?? Kwani wanachama wengine kama Mchome hawana akili na haki ya kuhoji?

Hivi Tundu Lissu anaposema "No Reforms, No Elections", bado hamjatambua kuwa yeye ndiye adui namba 1 wa CHADEMA?

Hakika CHADEMA mumeingia choo cha kike, na hamtoki kwenye hicho choo hadi mgawane matofali na mbao
Kauli ya No Reforms No Election haikuasisiwa na Lissu, ni Mbowe ndiye muasisi na ikapitishwa na Baraza kuu na hatimaye na Mkutano Mkuu wa Chama, hivyo hiyo si kauli ya Lissu bali ni kauli na msimamo wa Chama.
 
Barua inasema uchaguzi wa wateule hauna uhalali kwa sababu akidi haikutimia. Mchome amesema wazi kuwa hana tatizo na uteuzi bali anataka taratibu zifuatwe. Mbona majibu yake ni mepesi? Anaweza kujibiwa:
1. Akidi ilitimia na majina ya wajumbe halali waliohudhuria ni haya hapa.
2. Alikosea hesabu. Hiyo akidi anayodai haihusiki na uchaguzi huu.
3. Tuliteleza. Tutaita kikao kingine ili takwa hilo litimizwe. Bila shaka wale wale watashinda.

Mchome amewafanyia favour sana maana angeweza kungoja mpaka karibu na uchaguzi na kuliibua.

CDM wasisahau kuwa hukumu kuhusu wakina Halima ilisema kuwa ingawa walikuwa na haki ya kuwafukuza walikosea kwenye taratibu. Wanatakiwa kuwa waangalifu zaidi katika kufanya mambo yao.

Amandla...
 
View attachment 3243725

Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.


View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hii kaandika kweli Rehema? Mbona anakuwa kama Msigwa? Uchaguzi wameshinda. Wajikite katika kukijenga chama chao waachane na Mbowe. Wajibu tuhuma zilizomo wasonge mbele. Sio kila mtu anaye kuhoji ni adui yako. Kama ni yeye kweli, huku ndio kuponya majeraha ya uchaguzi? Kwanza kumsingizia Aidan halafu sasa Mbowe. Adui yenu mnamjua na sio Mbowe.

Amandla...
 
View attachment 3243725

Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.


View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Nilikuwa nakuona una akili kumbe huna tofauti na Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa. Sasa kushinda kwa hila kivp wakati uchaguzi ulikuwa live kabisa
 
View attachment 3243725

Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.


View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

wataalamu katika siasa tuliliona hili mapema na tukatahadharisha kabisaa ili isiwe surprise kwamba kwa aina ya kampeni walizofanya chadema hususan uchaguzi wa mwenekiti wa Taifa,

Yeyote atakaeshinda uchaguzi huo ategemee kuhujumiwa na upande utakaoshindwa uchaguzi huo.

Na huo ni mwanzo tu,
bado kukomoana wakati wa uteuzi, na huenda pakawa na kupotezana kabisaa katika zoezi hilo kuelekea uchaguzi mkuu.

Hali hiyo itaendelea kuizonga chadema kwa miaka yote mitano ijayo 🐒
 
Kauli ya No Reforms No Election haikuasisiwa na Lissu, ni Mbowe ndiye muasisi na ikapitishwa na Baraza kuu na hatimaye na Mkutano Mkuu wa Chama, hivyo hiyo si kauli ya Lissu bali ni kauli na msimamo wa Chama.
Hata kama kauli ni ya Mbowe na mkutano mkuu ukai broadcast, lakini tambua hatukuijua kauli hiyo kabla ya Tundu Lissu hajaiongelea kwenye mkutano wake wa kwanza rasmi na wanahabari.

Kwani yeye hana akili zake kama Mwenyekiti kuanza na kauli yake mpya isiyo na utata?? Mchawi wa CHADEMA ni Tundu Lissu tu
 
Wewe mwenye akili kuliko mtoa mada mbona hujajibu hoja?? Acha woga na matusi
Yaweza kuwa nimeandika matusi bila mimi kujua nikidhani niko sawa. Naomba ndugu uniambie wapi au neno gani ni tusi ili nisije rudia tena hili jambo
 
Mbowe anahusikaje hapo sasa?? Kwani wanachama wengine kama Mchome hawana akili na haki ya kuhoji?

Hivi Tundu Lissu anaposema "No Reforms, No Elections", bado hamjatambua kuwa yeye ndiye adui namba 1 wa CHADEMA?

Hakika CHADEMA mumeingia choo cha kike, na hamtoki kwenye hicho choo hadi mgawane matofali na mbao
Utasubiri sana na roho yako ya kichawi
 
Hata kama kauli ni ya Mbowe na mkutano mkuu ukai broadcast, lakini tambua hatukuijua kauli hiyo kabla ya Tundu Lissu hajaiongelea kwenye mkutano wake wa kwanza rasmi na wanahabari.

Kwani yeye hana akili zake kama Mwenyekiti kuanza na kauli yake mpya isiyo na utata?? Mchawi wa CHADEMA ni Tundu Lissu tu
Lissu anasimamia azimio la Mkutano mkuu. Hili nalo ni gumu kuelewa?
 
Hii kaandika kweli Rehema? Mbona anakuwa kama Msigwa? Uchaguzi wameshinda. Wajikite katika kukijenga chama chao waachane na Mbowe. Wajibu tuhuma zilizomo wasonge mbele. Sio kila mtu anaye kuhoji ni adui yako. Kama ni yeye kweli, huku ndio kuponya majeraha ya uchaguzi? Kwanza kumsingizia Aidan halafu sasa Mbowe. Adui yenu mnamjua na sio Mbowe.

Amandla...
Amendika Rehema kweli, kafungue ile twitter account ambayo nimeambatisha pale kwenye post #1
 
Jipangeni, mlijua siasa ni maneno maneno eeh ?
Wameanza kukwama na kushindwa kuendelea kujenga Chama. Sasa wanatafuta scapegoat na kama kawaida baada ya kumtukana na kumdhalilisha Mwamba Mbowe wanashindwa kuwajibika.Walidhani kuongoza Chama ni kelele za mitandaoni na ngebe za kujipatia umaarufu.Reality has checked in. Deal with it.
 
Back
Top Bottom