Mwezi mmoja kabla Hassan Nasrallah aliwaonya Hezbollah kutotumia simu

Mwezi mmoja kabla Hassan Nasrallah aliwaonya Hezbollah kutotumia simu

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Hezbollah walikuwa wakitumia simu kwa mawasiliano yao. Hassan Nasrallah akawaonya Hezbollah kutotumia simu kwani kuna ueezakano simu hizo zikawa compromised na Israel.

Baada ya onyo hilo ndiyo wakahamia kwenye pagers (hutumika kwa text tu) na walkie-talkie (hii ni two ways radio hutumika kuongea na mtu ambaye mpo kwenye same range na kwa kutumia specific frequencies).
Inaonekana Hassa Nasrallah alipenyeziwa intelijensia hiyo kimkakati ili awahamisha Hezbollah kutoka kutumia simu ili waingie kwenye mtego uliotegwa.

A salaam Aleyküm!
 
Sijawahi pata muona Mtu kama huyu. Endelea kufuatilia kwa karibu hatima yake.
Screenshot_20240928-020004_Chrome.jpg
 
Amani ya waisrael aitopatikana kwa kuwauwa kina Nasrallah au ayatollah njia yakuwapa amani ni vikao vile kule UN Swiss lkn njia ya kuuwa wapinzani ndio kwanza moto utaendelea kuwaka nawao Israel bado sana ifadhi yao itakuwa katika nashimo kama simbilisi. Nimekaa pale ikiwa maoni yatakuwa na tofauti kesho au kesho kutwa utasikia viuma vipo tell viv watu wanataftana.
 
Back
Top Bottom