Amiri jeshi mkuu yupo na anatosha sana!! Of course kaimu lazima atakuwepo (second in command)!Je, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Naibu waziri yupo.makatibu wakuu wapo.unataka Nini?au hujalipwa mshahara August?
Tegemea kumpata soon na atakuwa mwanamke. Ni uoni wangu.Je, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Twasubiri Raisi atoke zenji.Tegemea kumpata soon na atakuwa mwanamke. Ni uoni wangu.
Bado kuna mvutano mama anataka mzanzibari mabeyo anataka sukuma gang.
Bado kuna mvutano mama anataka mzanzibari mabeyo anataka sukuma gang.
Lugha ya kiforex hii[emoji1][emoji1][emoji1]Shit like this ndio chanzo cha mkwamo wetu kama Taifa!
Pips like you need to be exterminated kimya kimya ! Nyinyi ndio chanzo cha mkwamo !!!
FUA(....)