MASHANJARA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 379
- 500
Auto pilot government. Rais hayupo kitini yuko ziara ndefu ya mambo ya utalii. Jana alikuwa jimboni kwa Mh Mbowe pengine ki mkakati zaidi. Makamu wa Rais hajaweza ku prove uwepo wake kwenye hiyo nafasi. Hasikiki. Amekuwa non starter kind of. Waziri mkuu anajiandaa kuwa Rais siku moja. Smart Gwajiboy ameigawa CCM. Anawatisha wenzie ikijulikana kwamba Sukuma gang wenzie wana watch carefully. Kuna wazo ama Waziri wa Ulinzi atoke Zanzibar (kwa kuwa Waziri wa mambo ya Nje ni kutoka Bara). Akitoka bara atoke Sukuma gang tena au kanda nyingine na je akitoka kanda nyingine ataweza kufanya kazi na incumbent CDF? Mambo ni mengi na muda ni mchache. Tuendelee kuiombea nchi yetu.