Itarushwa SUNETNgoja nisubiri.
Itakuwa inaruka Azamtv au mama ana channel yake YouTube.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itarushwa SUNETNgoja nisubiri.
Itakuwa inaruka Azamtv au mama ana channel yake YouTube.
Dr Mabeyo anatosha, waziri raia ni mzigo tu kwa walipa kodi.Je, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Yule mchoma watu sumu alistaafu ?UVCCM hawana MWENYEKITI mzee mwaka sasa
Acha simplistic mind kama hiyo ndio maana mambo ya tz yanapwaya.Naibu waziri yupo.makatibu wakuu wapo.unataka Nini?au hujalipwa mshahara August?
Kama hakuna athari kwanini nafasi hiyo ipo?Umeathirika kivipi waziri wa ulinzi kutokuwepo!
Kama hao wanatosha basi nafasi ya waziri isiwepo ifutwe tupunguze gharamaNaibu waziri yupo.makatibu wakuu wapo.unataka Nini?au hujalipwa mshahara August?
Hii wizara haihusiani na maisha ya wananchi kila siku iendayo kwa Mungu . Ni wizara muhimu lakini si kwa raia.Je, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Ukimya unatengeneza minong'ono.Shit like this ndio chanzo cha mkwamo wetu kama Taifa!
Pips like you need to be exterminated kimya kimya ! Nyinyi ndio chanzo cha mkwamo !!!
FUA(....)
Mwisho wa siku hawana manufaa yoyote kwa wananchiYupo naibu na katibu mkuu mwendo mpera mpera!
Reference yako imeharibu hoja yakoAsingekuepo katibu wa wizara ingekua bonge la ishu kuliko hata waziri. Waziri ni ceremonial figure atahudhuria vikao, atawasilisha maamuzi n.k.
Lakini utendaji kazi hua ni kwa walio chini yake kuanzia NW na Katibu wa Wizara. Ndiyo maana marehemu magufuli aliwahi ongoza nchi kwa zaidi ya miezi 3 bila mawaziri katika wizara tatu.
Ni ya uongo?Reference yako imeharibu hoja yako