Mwezi wa pili wa juhudi ya kupunguza uzito wa mwili; umegoma kuleta matokeo. Tatizo ni nini?

Mwezi wa pili wa juhudi ya kupunguza uzito wa mwili; umegoma kuleta matokeo. Tatizo ni nini?

Kama nilio anza juhudi zangu za kupunguza uzito, huu ni mwezi wapili kwa kutumia mfumo ule ule wa kula mlo moja mboga za majani sana na kuepuka vyakula vyenye wanga sana kama chapati ugali na chapati. Mwezi wa kwanza matokeo yali patikana kwa kupungua 8kg.

Kwa kuendelea na utaratibu huo huo mwezi wa pili nimepima leo matokeo ni kwamba ni mepungua 0.5kg nusu kg tatizo ni nini? Mwili umezoea huo mfumo kuna haja ya kubadili diet au mfumo na mda wa kula?

Target yangu ni kumpungua 20kg ndani ya mwezi mitatu ila naona mwezi wa pili nimepunguza nusu kilo tu, na bado nimebakiza mwezi moja. Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!
Acha kujitesa kula vizuri alafu vuta bhange nyingi unarudi kwenye mwili wako soon
 
Heheheee! Usithubutu kuongeza mwili kwa style yoyote ile, wembamba sio adhabu, sio kilema wala sio ugonjwa. Mimi nilikuwa mwembamba hadi watu wananitania chikondemu ila sasa ninamwili hadi natamani wembamba wangu, unene ni mateso mzee
Fufacts kila mtu anatamani asicho nacho ila ukweli unene/wembamba uliopitiliza ni changomoto.

Kama ana shida ya kuwa mnene the only and best way ni chakula
 
Kinywa maji yam moto, yachemshe kama ya chai lakini usitie kitu, maji tu.

Kabla hujala kitu hakikisha unapata lita moja, kianzia hapo mpaka inapofika saaza chakula cha mchana, hakikisha umeshapiga lita nyingine moja. Baadaya chakula cha mchana piga lita mpoja. Baada ya chakula cha usiku, kabla hujalala hakikisha lita nyingine moja.

Usinywe tena maji ya baribi, fanya maji ya moto ndiyo maji yako. Utakojowa kwa wingi na unene utakutoka tu, na maradhi mengine yoyote yataondoka. Inaitwa "hot water therapy".
Unataka kuzalisha tatizo la mfumo wa mkojo maji yote hayo sio kama ana overload mfumo wa mwili.
 
Ndiyo mara yangu ya kwanza kusoma comment ya Faiza ambayo haihusishi Uislamu ndanimwe!

Leo nakwenda kupiga bia na kushushia na kitimoto wallaqi! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Acha uchokozi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pamoja na ushauri uliotolewa hapa, nashauri kutenga muda wa mazoezi ya viungo hata ya kutembea.

Unaweza kununua baiskeli ukawa unaendesha walau kwa wiki mara mbili, ama hata kwenda Gym
 
Pamoja na ushauri uliotolewa hapa, nashauri kutenga muda wa mazoezi ya viungo hata ya kutembea.

Unaweza kununua baiskeli ukawa unaendesha walau kwa wiki mara mbili, ama hata kwenda Gym
Mimi mazoezi nao weza ni kutembea tu au kunyanyua vyuma, kukimbia siwezi mapigo ya mwoyo yanaenda kwa kasi sana mpaka nisimame kwanza kupoa mwili wangu hauhitaji mazoezi kama hayo ya kuendesha basikeli kukimbia nk tangu niko mdogo
 
Unafanya mazoezi gani?Pia kama ulivyomjibu hapo Grahams kuwa hupendi kufanya mazoezi yanayosababisha moyo kwenda mbio,iko hivi mkuu ili mafuta yaliomo kwenye mwili yaugue ni lazima mzunguko wako wa damu uwe mkubwa,na ili uwe mkubwa ni lazima moyo ufanye kazi kwanguvu ili usukume damu iende kwa speed ya juu,sasa kama unafanya mazoezi ya low intensity itakuchukuwa muda sana kupata matokeo...
 
Back
Top Bottom