Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Hizo Dua za Watu waliodhulumiwa Uhuru wao na kufungiwa nyuma ya Kuta ndefu na Nondo ndio zinazoliangamiza hili Taifa mpaka Misiba ya Rais tunaiona zamani kulikuwa hamna kitu kama hii
Karume baba alikufa akiwa nani? Au unazungumzia zamani za kale
 
Usiandike kitu usichokijua. HAIWEZEKANI Shein na KIKWETE wote wawe wamedanganywa na Propaganda.
 
Familia za hao Mashekhe zinaishi katika msongo mkubwa wa Mawazo
 
Hivi watuhumiwa wengine sio watu mbona hamuwalalamiki kukaa ndani mdaa mrefu kutwa ni kuongelea mashehe tu kwanza hawakukamatwa kama mashehe bali kama watuhumiwa
 
Mnao waoneaga huruma hawa magaidi hivi hamfuatilii kinachoendelea Msumbiji jinsi majitu type hii yanavyo chinja wenzao. Kuweni serious bhana
Hawa wameshikwa fikra zao na udini ndio maana magaidi huwa wanafanya ugaidi kwa mwamvuli wa dini ili kupata ushawishi
 
Hasahasa huko Twitter Kuna watu wanapongeza Sana hawa mashekh, unabaki unashangaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…