Mwezi wa tisa utakuwa ni mwezi wa balaa na mtifuano ndani ya Club ya Yanga

Mwezi wa tisa utakuwa ni mwezi wa balaa na mtifuano ndani ya Club ya Yanga

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Wanakutana na Wanigeria kwenye Club bingwa Africa (1st Leg/2nd Leg) 10-12 September / 17-19 September 2021-WATATOLEWA
Wanakutana na SImba Ngao ya Hisani- WATAFUNGWA


Unadhani nani atakuwa wa kwanza kuchinjiwa baharini?,

Kwa kuwa bado GSM anaendelea kuwa na nguvu na bado anataka kuendelea kutetea maslahi yake kupitia biashara zake za kuuza "merchandise za Club' basi yeye na 'chawa' wake i.e Manara,Eng Heri Said na wegine wachache watabaki salama (kwa mda) ..

Kimbembe ni kwa Mwenyekiti wa Club au Kocha wao hao hakika hawatabaki salama,...na hapo mtifuano ndipo utakapoanzia.....
 
Wanakutana na Wanigeria kwenye Club bingwa Africa (1st Leg/2nd Leg) 10-12 September / 17-19 September 2021-WATATOLEWA
Wanakutana na SImba Ngao ya Hisani- WATAFUNGWA


Unadhani nani atakuwa wa kwanza kuchinjiwa baharini?,Kwa kuwa bado GSM anaendelea kuwa na nguvu na bado anataka kuendelea kutetea maslahi yake kupitia biashara zake za kuuza "merchandise za Club' basi yeye na 'chawa' wake i.e Manara,Eng Heri Said na wegine wachache watabaki salama (kwa mda) ..Kimbembe ni kwa Mwenyekiti wa Club au Kocha wao hao hakika hawatabaki salama,...na hapo mtifuano ndipo utakapoanzia.....
Noted.
 
Wanakutana na Wanigeria kwenye Club bingwa Africa (1st Leg/2nd Leg) 10-12 September / 17-19 September 2021-WATATOLEWA
Wanakutana na SImba Ngao ya Hisani- WATAFUNGWA


Unadhani nani atakuwa wa kwanza kuchinjiwa baharini?,Kwa kuwa bado GSM anaendelea kuwa na nguvu na bado anataka kuendelea kutetea maslahi yake kupitia biashara zake za kuuza "merchandise za Club' basi yeye na 'chawa' wake i.e Manara,Eng Heri Said na wegine wachache watabaki salama (kwa mda) ..Kimbembe ni kwa Mwenyekiti wa Club au Kocha wao hao hakika hawatabaki salama,...na hapo mtifuano ndipo utakapoanzia.....
Huna unalolijua kaa kimya chief[emoji122]
 
Toka ujifunze kuandika, basi lolote linalokujia kichwani unakimbilia jf kuacha uharo wako.
 
Shida ipo huku zaidi
JamiiForums-739198275.jpg
 
Huu Msimu Utakuwa Mgumu Sana Kwa Simba Na Mashabiki Wake [emoji23]
 
Ujue Manara ana nguvu.Yaan App imezinduliwa kimyakmya hamna amsha amsha
 
Back
Top Bottom