OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
umeingia App?au amsha amsha kwako unataka uone watu wanaandana barabara. Kule app post moja comments above 1.2kUjue Manara ana nguvu.Yaan App imezinduliwa kimyakmya hamna amsha amsha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeingia App?au amsha amsha kwako unataka uone watu wanaandana barabara. Kule app post moja comments above 1.2kUjue Manara ana nguvu.Yaan App imezinduliwa kimyakmya hamna amsha amsha
Hahaha naona mmemuajiri kigogo awasaidie kupambana na Manara.Pale atatoka mweupeWewe kutwa nzima jana umeshinda chooni unaharisha ndiyo maana imekupita
Kwny digital hawatuwezagi hawa, Magori amesema app imeingiza 15m per hour wakati uto mwaka mzima 100m.umeingia App?au amsha amsha kwako unataka uone watu wanaandana barabara. Kule app post moja comments above 1.2k
Hahaha naona mmemuajiri kigogo awasaidie kupambana na Manara.Pale atatoka mweupe
Karibia msimu wa kulaumu marefa, washika vibendera, tff na bodi ya ligi, Simba unaanza. Muda utasema.Hawatakuelewa sasa.Ila kufikia October watakuwa wameshasalimu amri.
Akili huna km jina lakoM-Nigeria alifuzu kwa mbeleko yule tunapiga 7.
Tungemaliza nafasi ya 5 kwenye msimamo tungeenda kimataifa?nyinyi pia mnasahau mmeingia kwa mbeleko
M-Nigeria alifuzu kwa mbeleko yule tunapiga 7.
Zeruzeru mkalia tako moja kiboko yake Mzee Tozi tuHahaha naona mmemuajiri kigogo awasaidie kupambana na Manara.Pale atatoka mweupe
wewe umejuaje kama imezinduliwaUjue Manara ana nguvu.Yaan App imezinduliwa kimyakmya hamna amsha amsha
Nimeona mitandaon baada ya masaa 48wewe umejuaje kama imezinduliwa