Mwigizaji Vin Diesel afunguliwa kesi ya Unyanyasaji wa Kingono dhidi ya Mfanyakazi wake

Kisa Cha Hitler na wayahudi ....kimeeleweka sivyo
Wasanii wameanza uwekezaji mkubwa unaotishia makampuni makubwa na Amna namna ni ivyoo 2
 
Yap hizi case ni mara chache sana kwa Wazungu na pia kipindi wanacholipa kodi kubwa wako kwenye ubora wao wanaachwa wanakuja kushtakiwa wakianza kula matunda yao...kama walivyonfanyia Kelly..
Mbona Rais aliye maliza muda wake Bill Clinton walimtia hatianii kesi na Bi Monica Lewinsky.
Marekani haijalishi wewe ni Nani...[emoji3][emoji3]
 
Alikuwa wapia asishtak toka 2010 had leo 2023 inaishia? Au alikuwa anasubiri hela iongezeke apate mgao vyema?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kinachonishangaza hizi kesi ni kwa wale wenye asili ya Africa tu.

Kwahiyo sisi ndio tuna nyege sana ila wazungu hawana.
 
Hivi hiyo me too inalenga weusi tuu wazungu hawanyanyasagi?!
 
Hivi huko Marekani wanakuwa na ushahidi? Au mwanamke akisema tu inakuwa kweli?
America is gynocentric society yaani ni jamii ambayo imemezwa na mfumo jike... huko mwanamke anapewa kipaumbele na thamani kubwq kuliko mwanaume, yaani wanaume kule ni kama binadamu wa daraja la pili(second class beings).

Huko mwanamke akicheua tu au akilalamika kwa lolote lile kuhusu wewe mwanaume hata kabla hajatoa ushaidi wa aina yoyote ile, tayari wewe unakuwa public enemy na kila mtu atamuamini mwanamke huyo..... mfano kama kwenye hizo kesi za unyanyasaji wa kingono ndio kabisa, mwanamke akikutuhumu kwamba umemnyanyasa kingono, hata kazini unasimamishwa kwa muda usiojulikana mpaka pale ukweli utakapokuwa wazi, na kina makampuni mengine hata ikija kubainika baadae kwamba ulikuwa unasingiziwa hayakurudishi kazini maana tayari umeshaaribiwa reputation yako, maana hawataki kufanya kazi na mtu ambaye reputation yake imeshaaribika.

Mbaya zaidi huko hata baadae ikija kubainika wazi kwamba ulisingiziwa na kuharibiwa reputation yako, mwanamke aliyekusingizia hachukuliwi hatua yoyote ile na hata wewe mwanaume hakuna fidia yoyote unayolipwa... na hii imefanya wanawake wengi sana ku raise false accusations pale wanapotaka either pesa au kumkomesha mwanaume fulani.

Kuna dada mmoja mnigeria alifanyiwa mpago wa kwenda US na boyfriend mnigeria mwenzie ambaye alikuwa tayari anaishi US, jamaa akamtafutia chuo cha medical faculties, demu kapiga kitabu mwaka mzima baada ya kumaliza akaanza kupiga na kazi, wameishi miaka mitatu vizuri kabisa wakapata na mtoto.... baadae yule sijui alimchoka mshikaji, alichokifanya yeye alienda tu police na kuwaambia kwamba hajiskii amani tena kuishi na jamaa yake, ukifika usiku hapati usingizi kabisa kwa hofu aliyonayo... sasa alichoaambiwa yule jamaa yake sasa kwamba atafute sehemu nyingine ya kuishi na asimsogelee kabisa yule mwanamke kwa muda usiopungua miezi sita mpaka pale mwanamke huyo atakaporejesha imani kwake, halafu na wakati huo huo hela ya matumizi ya yule mwanamke na mtoto wao awe anatoa...... that's is America for you very sick society
 
Yaan mm kila ninapikutana na personal assistant wangu siachi kumshika tako au kutomasa nyonyo.
 
Kesi za namna hii zinawaandama sana mastaa wa ulaya sijui tatizo nini
Wameambiwa wafukue makaburi
Yaani kila alietendewa unyanyasaji atoke hadharani
Na kumbuka tabloids wanatengeneza hela sana na pia wanasheria
 
Wameambiwa wafukue makaburi
Yaani kila alietendewa unyanyasaji atoke hadharani
Na kumbuka tabloids wanatengeneza hela sana na pia wanasheria
Naona ule uhasama wa serikali dhidi ya blacks unarudi upya kwa taswira nyingine
 
Hivi huko Marekani wanakuwa na ushahidi? Au mwanamke akisema tu inakuwa kweli?
Ushahidi ni mfumo wa footprint unafanya KAZI sasa, ukisomwa cabon yako inakusoma maisha yako tangu utoto hapo ushahidi unapatikana, hivi hata VR glass watu hawajui kama zinasoma record ya maisha ya MTU, hizi Siri za matukio ya Siri sasa hivi zinakuwa wazi kwa footprint.
 
Mkuu acha kupiga watu kamba. Eti inakusoma maisha yako hadi utotoni. Nasema acha kuwapiga watu kamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…