Mwigizaji Vin Diesel afunguliwa kesi ya Unyanyasaji wa Kingono dhidi ya Mfanyakazi wake

Mkuu acha kupiga watu kamba. Eti inakusoma maisha yako hadi utotoni. Nasema acha kuwapiga watu kamba
Kamba? Ngoja nikuache kama ulivyoona kamba, hivi hujasikia wacheza mpira wanasomwa miaka yao? Sasa hivi imekuja more advanced.
 
Kamba? Ngoja nikuache kama ulivyoona kamba, hivi hujasikia wacheza mpira wanasomwa miaka yao? Sasa hivi imekuja more advanced.
Kwa hiyo wanasomwa kwa carbon foot print au sio? Hivi unajua maana hata ya carbon foot print? Kusoma miaka ya mtu kuna viashiria vingi vya kujua umri wake unaweza kutumia structure ya mifupa kama ambavyo zinatumika rings za shina kujua umri wa miti. Mkuu hebu kajihabarishe kuhusu carbon foot print haina uhusiano wowote na hiki unachosema. Labda kama unamaanisha radiocarbon dating ya kutambua umri wa kitu lakini inatumika kwa vitu ambavyo kwa muda huo havina uhai
 
Hizi fiksi
 
Diddy asipoishia gerezani kama Rkelly sijui.
Sema kuna mambo ukisingiziwa tena na mwanamke huko US anaaminika mpaka uje kuchomoka ushachoka
Ndio maana wahuni wanawaza kuoa Midori tu, Wanawake wa Ulaya ni shidah, yaani huwa ni swala la muda tu mtego unafyatuka.
 
Kwa style ya maisha wanayoishi wasanii, wengi wataishia jela tuu. Hizi sheria hata zingekuwepo hapa kwetu unaweza kuona kabisa wengi wangekua jela saa ii.
 
wewe ukishakuwa na pesa jua tu kuna vidada vingine vitakusogelea kufanya kazi na wewe na kukutega lengo likiwa uingie mkenge ili vipige pesa kwa kukufungulia kesi au vikushike masikio kwa namna yeyote ile. ndio maana kesi hizo huwa zinafunguliwa baada ya wao kufukuzwa kazi. wanaume okokeni, uzinzi ni mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…