Alipanga kumbadilisha ila kigogo akajitia kiherehere kusema analetwa fulani hapo ikabidi rais abadilishe maamuzi na kutafuta mtu mwingineHuyu mtu ni hatari sana ná kuna dalili kwamba samia anamuogopa huyu ndiyo sababu hajampiga chini baada ya kuvurunda kwenye bajeti.