Alipanga kumbadilisha ila kigogo akajitia kiherehere kusema analetwa fulani hapo ikabidi rais abadilishe maamuzi na kutafuta mtu mwingineHuyu mtu ni hatari sana ná kuna dalili kwamba samia anamuogopa huyu ndiyo sababu hajampiga chini baada ya kuvurunda kwenye bajeti.
Majitu kama haya yanatakiwa kupigwa polonium haraka yasije yakaokota dodo kama yule kichaa wa ChatoMwigulu linawaza urais tu,jitu katili Hilo Nani wakumchagua
Mbowe kuhusu nini Sasa?Kipi uliwahi kulazimishwa kuamini kuhusu Mboweafadhali hata huyo ametoa picha, maana kuamini au kutokuamini kunabaki kuwa juu yako. ingekuwa mbowe hapa tungelazimishwa tuamini hata bila picha!!
Yaani yule Kichaa aliyeko motoni huko ana nafuu kuliko huyu Migulu.Lazima tuelezane Ukweriii au nasema uongo jamani?Majitu kama haya yanatakiwa kupigwa polonium haraka yasije yakaokota dodo kama yule kichaa wa Chato
Ule uvumi unaweza kuwa na ukweli na inaonekana huyu ndio chaguo lao.View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.
My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Kwa katiba hii, CCM wanao uwezo wa kufanya lolote na tusiweze kufanya lolote.Rubbish, nani ampe urais shetani, Idd Amin mkubwa
Haikuwa na ulazima wowote kwa yeye kusimama kusikiliza Wananchi ingawa anaweza jitetea lakini kwa namna fulani ameingilia wenye mamlaka ya kutoa kauli na zikawa kama sheria /amendment ya hoja.Yaani yule Kichaa aliyeko motoni ana nafuu kuliko huyu Migulu.Huyu Migulu.Nasema ukwerii
Halafu waziri wa fedha anakuwaje na escort nzito hivyo? Hesabu kofia nyekundu za FFUView attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.
My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Alipanga kumbadilisha ila kigogo akajitia kiherehere kusema analetwa fulani hapo ikabidi rais abadilishe maamuzi na kutafuta mtu mwingine
Saved for future use! Usiogope. Ha ha haaa!Rubbish, nani ampe urais shetani, Idd Amin mkubwa
Watanzania sisi ni wasahaulifu sana, miaka ya zamani tuliwahi kumpa bwana flani uongozi wa nchi kiutani utani eti kisa kumkomoa yule nywele nyeupeRubbish, nani ampe urais shetani, Idd Amin mkubwa