ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Hahaaa ephen hana shida ila yuke mpenz wake lucas🤣🤣unamtukana ephen_ nkoi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa ephen hana shida ila yuke mpenz wake lucas🤣🤣unamtukana ephen_ nkoi
Ila hao wabunge huwa hawakatwi Kodi ya namna yoyote ile. Na baada ya miaka mitano wanapewa mamilioni yao kamili kamili. ShwainNaibu spika , na baadhi ya wabungu kwa hili wanahusika sana
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!Ila hao wabunge huwa hawakatwi Kodi ya namna yoyote ile. Na baada ya miaka mitano wanapewa mamilioni yao kamili kamili. Shwain
Haya majizi ya kura hayalipi Kodi yoyote! Mapumbavu sana!Naibu spika , na baadhi ya wabungu kwa hili wanahusika sana
Ndo ivyo ata juzi ,alisikika mbunge anashauri kwa madaa kabisa bungeni kwa kila lain ya sim ikatwe pesa ya kujenga barabara , bila kujua wapo wazee wetu huko vijijini wapo na sim ili tu kupigiwa na kutumiwa vijisent vidogo kwa ajili ya kujikimIla hao wabunge huwa hawakatwi Kodi ya namna yoyote ile. Na baada ya miaka mitano wanapewa mamilioni yao kamili kamili. Shwain
Hata sura yake tu inaonyesha hana akiliKatika jamaa wanachukiwa na kuboa vibaya mno huyo yumo kabisa ,
Sijui anatuonaje yani walikuwepo kina Chenge wanaiba mpaka pipi leo hii wako wapi hata kama bado wana hela ila huyu jamaa daah
Yaani wanacho kila kitu cha kufanya utafiti Nchi nzima kujua Wananchi wanalalamika kuhusu nini lakini badala yake wanawasikiliza watu wawili watatu wanaokwenda kujipendekeza kwa Waziri kwamba Tozo ziongezwe na yeye anawaamini wale Chawa 😳🙄Kumbe wakati Kuna watanzania Kila siku wanalalamika kuwa tozo zimezidi,wapo watanzania wengine wanaozunguka kwenda kwa Waziri wa fedha kuomba Serikali iongeze TOZO!!??
View attachment 3022320
Lucas Mwashambwa na johnthebaptist lazima bila shaka watakuwa wanahusika kutaka tozo ziongezwe...😂🤣😛😆😃🤚🔥
Wazo la TOZO lilimpaisha Zungu mpaka akawa Naibu Spika.Tusiumize kichwa raia wenzangu,
'Wananchi' ni neno la fumbo katumia.
Wazo la tozo liliasisiwa Bungeni na Zungu siku hizo hajawa hata naibu spika na kusapotiwa na Rtd Spika Ndugai.
Fuatilie clips zipo ndugu zangu.
Ifike sehemu hizi nafasi za kupendeleana zifutwe kwenye katiba ili tupate watu wazuri watakao fanya interview na kuwa tumikia wananchi na siyo aliyekuteuaMwigulu uchumi kila kukicha unazidi kushuka inflation rate inazidi kupanda kaamua mzigo awatupie wananchi
Mwenye tatizo ni mteuzi wa hawa watu aseeKumbe wakati Kuna watanzania Kila siku wanalalamika kuwa tozo zimezidi,wapo watanzania wengine wanaozunguka kwenda kwa Waziri wa fedha kuomba Serikali iongeze TOZO!!??
View attachment 3022320
Lucas Mwashambwa na johnthebaptist lazima bila shaka watakuwa wanahusika kutaka tozo ziongezwe...😂🤣😛😆😃🤚🔥
Ni mkoa fukara hadi aibuMkoa wa singida ni mkoa wa mwisho kabisa kusalisha Pato la taifa,.
Waziri wa fedha kutokea huko tutarajie nini!!
Kule kwao ukichora jiwe jina lako unaomba uwe Rais.
Mwananchi zunguKumbe wakati Kuna watanzania Kila siku wanalalamika kuwa tozo zimezidi,wapo watanzania wengine wanaozunguka kwenda kwa Waziri wa fedha kuomba Serikali iongeze TOZO!!??
View attachment 3022320
Lucas Mwashambwa na johnthebaptist lazima bila shaka watakuwa wanahusika kutaka tozo ziongezwe...😂🤣😛😆😃🤚🔥
Alichaguliwa na tumeWazo la TOZO lilimpaisha Zungu mpaka akawa Naibu Spika.
Watu wa Ilala ndio wa kulaumiwa maana huyu ndiye mbunge waliomchagua wao