Mwigulu adai wananchi ndio walioshauri tuweke tozo

Mwigulu adai wananchi ndio walioshauri tuweke tozo

Yaani kaaa kwa kutulia mtoto mdooooogoooo, mnuka jasho ,kubwa jinga lisilo na akili a.k.a MNYONGE, sasa kwa taarifa yako kila mwaka v-8 za billions 600 zinaagizwa, V-8 MOJA NI MILLIONS 500 SAWA NA KITUO CHA AFYA

Zinajazwa mafuta full tank, full Ac na hakuna kuzimwa hata kama boss yuko bar na mrembo wa bongo movie wanakula manyama na kushushia na ma wine toka ufaransa

Kaa kwa kutulia weweeeee unalalamika tozo unadhani watoto wako watsomea kwenye nini bila tozo? madarasa yatajengwaje? vituo vya afya vitajengwaje?

Najua mimacho umetolea kwenye v-8 , yees ni lazima kila mwaka model mpya ikitoka waheshimiwa waipate sababu wanaumiza sana vichwa kuwatumikia nyie wanuka jasho msio na shukrani

Mmeletewa hadi wachezaji toka brazil, argentina kwenye team iliyoko singida lakini bado hamna shukrani, hela yenyewe ndogo inayovamiwa kwenye vi account vyenu mnaiona nyiiingi wenyeeewe, LAZIMA MUUMIE LA SIVYO SHULE NA ZAHANATI HAKUNA NAMBA NYINGINE YA KUJENGA

UNAIJUA V-8 WEWEEEEEEEE? MTOOOOTO M-LITTLE, MNUKA JASHO, KUBWA JINGA



v81.JPG


v82.JPG


tozovx.jpg
 
Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .

Chanzo : SwahiliTimes
Sawa kabisa, mie mmoja wapo 😁😁😁

Maumivu ni makali sana
 
Waliomshawishi Mwiguru wajitokeze hapa hapa tumalizane naoama lao ama letu
Kwanini wafanye maamuzi magumu kisiri siri?!!!!
 
Kweli sisi wananchi wajinga kama alivyosema kiongozi wa upinzani yaani tumependekeza tozo wenyewe


Halafu tuje tulalamike huu ni ujinga kwekikweli!

Waziri atuambie wananchi wangapi walipendekeza Kati ya wangapi unaweza kuta wananchi wenyewe ni mawaziri na wafuasi tu.

Mambo ya wote tuwe wote, tozo iliyopendekezwa bungeni ni za simu wa siyo za kibenki
sawa lakini hii nchi tumechelewa sana kimaendeleo sasa sijui kulinganisha na nani
Waliojiwa wananchi Ambao wako wanaendesha Mavieti.
.
Ila Watanzania Hawakuhojiwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani kaaa kwa kutulia mtoto mdooooogoooo, mnuka jasho ,kubwa jinga lisilo na akili a.k.a MNYONGE, sasa kwa taarifa yako kila mwaka v-8 za billions 600 zinaagizwa, V-8 MOJA NI MILLIONS 500 SAWA NA KITUO CHA AFYA

Zinajazwa mafuta full tank, full Ac na hakuna kuzimwa hata kama boss yuko bar na mrembo wa bongo movie wanakula manyama na kushushia na ma wine toka ufaransa

Kaa kwa kutulia weweeeee unalalamika tozo unadhani watoto wako watsomea kwenye nini bila tozo? madarasa yatajengwaje? vituo vya afya vitajengwaje?

Najua mimacho umetolea kwenye v-8 , yees ni lazima kila mwaka model mpya ikitoka waheshimiwa waipate sababu wanaumiza sana vichwa kuwatumikia nyie wanuka jasho msio na shukrani

Mmeletewa hadi wachezaji toka brazil, argentina kwenye team iliyoko singida lakini bado hamna shukrani, hela yenyewe ndogo inayovamiwa kwenye vi account vyenu mnaiona nyiiingi wenyeeewe, LAZIMA MUUMIE LA SIVYO SHULE NA ZAHANATI HAKUNA NAMBA NYINGINE YA KUJENGA

UNAIJUA V-8 WEWEEEEEEEE? MTOOOOTO M-LITTLE, MNUKA JASHO, KUBWA JINGA



v81.JPG


v82.JPG


tozovx.jpg
Duh !!
 
Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .

Chanzo : SwahiliTimes
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi tutaona mengi

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .

Chanzo : SwahiliTimes
WANANCHI wa NCHI GANI HAO?Kama ni WATANZANIA MBONA WANAZISHANGAA HIZO TOZO?Tunaiomba Serikali iondoe hizo TOZO badala yake IBANE MATUMIZI YAKE
20220902_111921.jpg
 
Kweli sisi wananchi wajinga kama alivyosema kiongozi wa upinzani yaani tumependekeza tozo wenyewe


Halafu tuje tulalamike huu ni ujinga kwekikweli!

Waziri atuambie wananchi wangapi walipendekeza Kati ya wangapi unaweza kuta wananchi wenyewe ni mawaziri na wafuasi tu.

Mambo ya wote tuwe wote, tozo iliyopendekezwa bungeni ni za simu wa siyo za kibenki
sawa lakini hii nchi tumechelewa sana kimaendeleo sasa sijui kulinganisha na nani
Jamaa amelaaniwa haswa
 
Back
Top Bottom