rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Amekaa zake bar na marafiki zake wawili halafu anasema wananchi wamemshauri Hana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka , kwa serikali hii sikivu inawezekanaKwahiyo wananchi wakisema tozo zifutwe zitafutwa???
Tuanzie hapo kwanza.
Siwezi kumbishia Mwigulu. Siku zote huwa Nina wasiwasi na wananchi wa Iramba, siwaamini kabisa bora Leo mbunge wao amenithibitishia. Yaani Wanyiramba mlimuita mbunge wenu mkampa huu ushauri ili sisi tuumie kwa vile nyie hela mnatunza kwenye vibuyu?Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Kiendacho kwa mg... Hakirudi!Huyo sio mzima, hatuzitaki sasa mbona wanalazimisha.
I like this?Kwahiyo wananchi wakisema tozo zifutwe zitafutwa???
Tuanzie hapo kwanza.
Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Huyu kiumbe jamani sijui PhD yake Ni ya chuo gani???Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Wananchi tunaiahauri serikali kuacha kuibeba CCM ktk chaguzi kuu, naomba na hili lishughulikiwe kwa sababu serikali sikivu inawasikiliza wananchi
Huyu waziri anafaa kwenye comedy zaidi
None sense kabisa, twaweza si wapumbavu wale.Shirika LA TWAWEZA ndo lilifanya research
Inawezekana ni wananchi wa Burundi walishauriWaziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Mimi kama mwananchi ninaishauri serikali iache kuibeba CCMSio wananchi, bali vyombo vya dola ndio viache kuibeba CCM.
Huyu kiumbe jamani sijui PhD yake Ni ya chuo gani???
Safi sana kama serikali inaweza kuchukua maoni ya wananchi na kuyafanyia kazi.. Sasa kuna haya maoni mengine kwamba baadhi ya mawaziri wameshindwa kazi akiwemo yeye..TUNAOMBA SERIKALI IYAFANYIE KAZI NAYO PIAWaziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Si ndio hapo sasa, kama ni wananchi walitaka mbona hatukuwaona wakitaka, ila tunawaona wakikataa?Jinga kabisa, wananchi wa wapi haosi.