econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Waziri wa Fedha Mh Mwigulu akizungumza na Waandishi wa habari amesema kwamba Wananchi wenyewe ndio walioshauri serikali iweke Tozo ili kupanua wigo wa mapato , na kwamba ilichofanya serikali ni kuufanyia kazi ushauri wa Wananchi .
Chanzo : SwahiliTimes
Kwa hivyo wananchi ndio wakulaumiwa?. Kweli tuna Viongozi wasanii. Ndio ufafanuzi alioisema.